Recent content by siku365

  1. siku365

    NEC: Fomu ya Urais iliyotolewa kwa ACT-Wazalendo lazima ijazwe na Kitila Mkumbo tu!

    Hapo sasa, nilimsikia habib mchange akihojiwa na eatv juzi akisema CCM wamesimamisha jambazi A Na CDM jambazi B, itabidi wachague jambazi
  2. siku365

    CA members up in arms over per diem

    Ha ha ha,These people are after money! What else can they do...
  3. siku365

    Types of husbands

    Tumekusikia,tumekuelewa chaguo letu
  4. siku365

    TB Joshua: Ndege iliyopotea Indonesia ipo kati ya bahari ya Hindi kisini mwa Indonesia

    Jamaa walishatoa namba za simu kwa mtu au taasisi yeyote yenye taarifa,kama hana hizi hapa awapigie(hotlines +86 10 64376249/6037881234)
  5. siku365

    Super Feo Express na route mpya ya Songea-Dodoma.

    Itakuwa njia ya mtera hiyo kwani gari nyingi kwa sasa zinapita huko baada ya kuwekwa lami,na kwa muda huo hiyo ndio njia ya mkato sana kwani toka Iringa mpka dodoma ni masaa tatu na nusu tu... Nawatakia kila la kheri...
  6. siku365

    Sitta awaomba radhi UKAWA kwa ubabe wa jana: semina za Msekwa na Mapuri zafutwa

    Kama ni ya kutoka moyoni,basi amejisahihisha makosa na ataongoza bunge vzr kama matarajio ya waliompigia kura
  7. siku365

    Kagame anukisha bondeni, maafisa watatu ubalozini watimuliwa

    ha ha ha! Mjomba alimchekea sasa kaenda kukutana na vichwa...
  8. siku365

    Kagame anukisha bondeni, maafisa watatu ubalozini watimuliwa

    Habari za Jumapili wapendwa wana JF. Afrika Kusini imewatimua maafisa watatu wa ubalozi wa Rwanda nchini humo kutokana na kinachosadikika kuhusika kwao na jaribio la kuvamia nyumba ya Gen. Faustin Nyamwasa mkosoaji wa serikali ya Kagame anayeishi uhamishoni nchini Afrika Kusini. Rwanda imejibu...
  9. siku365

    Jimbo la Songea lapata askofu mpya

    Umeanza wivu,umewasahahu wengine.... Tarcisius Ngalalekumtwa Askofu wa Iringa -mzaliwa wa Iringa,Paskal Kikoti Askofu wa Mpanda -mzaliwa wa Iringa
  10. siku365

    Kwa waliopo Morogoro road muda huu,Kagame anapitisha magari ya kutosha

    Taratibu anaanza kurudi,baadae na umoja wao wawaliotayari wataukacha...
  11. siku365

    Wana Rorya

    Nasikia hairuhusiwi kutangangaza nia kabla ya wakati.... au ni kwenye uraisi tu...
  12. siku365

    Manyoni: Basi la Bunda lagongwa na treni na kuua

    Duh! very sad....R.I.P marehemu
  13. siku365

    Daaa Ndoto Yangu ya kuwa Mwalimu Mkuu ndo hivo tena ,,,

    We ulikuwa hujui uwalimu ni wito,endelelea na wito wako kaka...
  14. siku365

    Atoa donge nono la Shs.200Bil. kwa mwanaume atakae weza kumuoa binti yake [PHOTOS]

    Nilisikia zaidi ya wanaume 20,000 duniani wamepokea hiyo ofa na wameonyesha nia,sijajua hapa bongo kama kuna watu wameshaanza kuchangamkia hiyo fursa
  15. siku365

    Ajali Mbaya sana hapa KIA

    Namba za simu za polisi hazipokelewi???? Walitoa za nn sasa....
Back
Top Bottom