y-n
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,391
- 2,514
Hongera kwa super feo express kuanzisha hii safari ya Songea na Dodoma kila siku.
Kwa mujibu wa maelezo yao wanasema safari utaanza saa 12 kamili ya asubuhi na kufika kuanzia saa kumi na moja na dakika kumi ya jioni.
Japo sijajua kama wataitumia njia gani kati ya Morogoro(Msamvu) au ya Mtera,ila ni uamuzi mzuri sana.
Hongera Super Feo
Kwa mujibu wa maelezo yao wanasema safari utaanza saa 12 kamili ya asubuhi na kufika kuanzia saa kumi na moja na dakika kumi ya jioni.
Japo sijajua kama wataitumia njia gani kati ya Morogoro(Msamvu) au ya Mtera,ila ni uamuzi mzuri sana.
Hongera Super Feo