Super Feo Express na route mpya ya Songea-Dodoma.

Super Feo Express na route mpya ya Songea-Dodoma.

y-n

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
2,391
Reaction score
2,514
Hongera kwa super feo express kuanzisha hii safari ya Songea na Dodoma kila siku.
Kwa mujibu wa maelezo yao wanasema safari utaanza saa 12 kamili ya asubuhi na kufika kuanzia saa kumi na moja na dakika kumi ya jioni.
Japo sijajua kama wataitumia njia gani kati ya Morogoro(Msamvu) au ya Mtera,ila ni uamuzi mzuri sana.
Hongera Super Feo
 

Attachments

  • 1395316535990.jpg
    1395316535990.jpg
    65.6 KB · Views: 964
Hongera kwa kuzidi kurahisisha safari, inasaidia usumbufu wa kusafiri hadi mkoa fulani (mfano utoke songea hadi mbeya moro au dar) ili upate basi la kukupeleka uendako - dom
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Hongera shemeji kwa kupata kua agent maana niliona wazi jela inakuita.
 
Itakuwa njia ya mtera hiyo kwani gari nyingi kwa sasa zinapita huko baada ya kuwekwa lami,na kwa muda huo hiyo ndio njia ya mkato sana kwani toka Iringa mpka dodoma ni masaa tatu na nusu tu...
Nawatakia kila la kheri...
 
Itatusaidia sana pia sisi wa Njombe na Makambako maana Another G na Hood zinasuasua
 
hii inaweza kutusaidia sisi watu wa kanda ya ziwa maana unaunganishia hapo Dodoma badala ya Dar au Moro.
 
Kiukweli jamaa wamerahisisha sana.
Nitakuwa naweza kufika manyoni ndani ya siku moja sasa badala ya mbili.
#makamee
Hili sio tangazo la biashara Mkuu.
 
Mkianzisha na za kwenda kwetu Musoma na Ukelewe ndio nitawapongeza kwa sasa Ongezenu safari na mikoa mingine pia.
 
  • Thanks
Reactions: y-n
hongera sana super feo kwa kuanzisha route ya songea-dodoma.hakika mnaifanya tz kuwa kijiji kimoja.
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Itatusaidia sana pia sisi wa Njombe na Makambako maana Another G na Hood zinasuasua

mkuu hii route ya njombe to dodoma unajua ni mpya na another G hana uzoefu saana na route za mbali.inatakiwa awe mvumilivu baadaye kitachanganya tu.
 
Hongera kwa super feo express kuanzisha hii safari ya Songea na Dodoma kila siku.
Kwa mujibu wa maelezo yao wanasema safari utaanza saa 12 kamili ya asubuhi na kufika kuanzia saa kumi na moja na dakika kumi ya jioni.
Japo sijajua kama wataitumia njia gani kati ya Morogoro(Msamvu) au ya Mtera,ila ni uamuzi mzuri sana.
Hongera Super Feo

Akipita Mtera atakutana na Another G. Jamaa anapiga pesa ni balaa anaanzia Njombe na yuko peke yake.
 
Hongera mama spikabkwa kutuletea huduma hii. buni route nyingine kama vile Arusha ...Bukoba
 
Hongera zao jamani, nayakumbuka mateso niliyokuwa napata safari ya song-mza route ilikuwa ndefu sana ile. Ujio wa huduma hii utapunguza adha kwa wafanyabiashara na wanafunzi.
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Is better angefika hadi Arusha kabisa kupitia Singida. Nadhani route ya Songea -Arusha (Via Mtera na Singida) ndiyo itakuwa nzuri zaidi kuliko kuishia Dodoma.
 
mkuu hii route ya njombe to dodoma unajua ni mpya na another G hana uzoefu saana na route za mbali.inatakiwa awe mvumilivu baadaye kitachanganya tu.
Na aje super feo another G kweli anaweza short routes maka to Njombe basi
 
wadau,,

Bus gani confortable kwa usafiri wa Dar to Mtwara,,

Natarajia kutembelea huko hiv karibuni,,
 
Back
Top Bottom