Jamaa anasukuma benz wewe unapiga makelele humu na kwenye akaunti yako hata elfu kumi haifiki, tozo kila siku zinazidi kutawanyishwa umeshindwa kufanya lolote. Dunia ilivyo kubwa hii unahangaika na mtu mmoja anatangaza biashara yake, eboo
Susieni tu hizo game nyingine ila game yetu na nyinyi mkisusa kudadeki tunawafata popote pale mlipo tunawakamata na kuwaingiza uwanjani kwa lazima, ole wenu msuse kuingia siku hiyo ndio mtatueleza kwanini mlichagua team dhaifu siku ya tamasha lenu. Eboo
Usaliti kwenye mahusiano ndio unaleta yote haya, sikuhizi hakuna kitu naogopa kama kuchezea moyo wa toto la mtu. Ila yule kenge alie nipiga tukio miaka ile sitamsamehe mpaka nilipize kisasi, fvck you A
Hakuna watu nilikua nawachukia utotoni kama wafanya biashara wa madini, walimuua mshua kwenye biashara zao huko sijui walishindwana nini. Baada ya dingi kufa kila kitu kilipinduka, ila uyatima unatesa sana ndugu zangu usikie tu kwenye vyombo vya habari. Mimi hapa duniani ndugu zangu ni sita tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.