Recent content by Sikonge

  1. Sikonge

    JamiiForums Tanzania Majina ya kike ya Kisukuma

    WaDakama ndiyo Wanyamwezi wa Tabora.
  2. Sikonge

    JamiiForums Tanzania Majina ya kike ya Kisukuma

    Jamaa wamechangia hapo juu. Pande nneza Dunia ni : Kiya - Mashariki Mweli - Magharibi Dakama - Kusini Sukuma - Kaskazini Mikoa ya Wanyamwezi na Wasukuma ni Mwanza/Geita, Shinyanga na Tabora. Ukiwa Tabora, Wanyamwezi wa Mwanza tunawaita WaKaskazini au WaSukuma Ukiwa Mwanza, Wanyamwezi wa...
  3. Sikonge

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya Uingereza Ulaya ni ipi exactly?

    Sijawahi kuona JUHA akipigiwa Makofi na Basha la West. Yaani huyo WANAMTEGEMEA anapiga makofi na kumsubiri JUHA na baadaye wanaingiza ndani ya gari wawili tu bila kukaguliwa na kuondoka, Leo MSIKILIZA CNN anamwita JUHA. Anyway, wanasema Don't argue with...
  4. Sikonge

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    The price of a 15kg LPG (Liquefied Petroleum Gas) cylinder in Cuba is not straightforward because it depends heavily on who is buying it and through which channel. Here’s a detailed breakdown of the costs as of mid-2024. 1. The Official, Subsidized Price (For Cubans on the Ration Book) ·...
  5. Sikonge

    JamiiForums Tanzania Watu waliotajwa zaidi kwenye nyimbo za kikongo

    Hivi alikuwepo Mtu anaitwa Lukulasi? Nafikiri walimwita Don King wa Afrika. Ila Didier au Didi Kinuani kweli kaimbwa sana. Kwa UTAJIRI wake wa Almasi alikuwa mdhamini Mkubwa wa Wanamuziki ila alichemsha kuja kumchukua Mke wa JB Mpiana, Mrembo Hamida Shatur. Baada ya hapo, BCBG Wenge...
  6. Sikonge

    JamiiForums Tanzania Watu waliotajwa zaidi kwenye nyimbo za kikongo

    Sikujua Kama Papito Mbala ni jina La Mtu. Alitoa Hela ndefu sana kwa wimbo huo wa JB Mpiana... https://youtu.be/Lxy2hl3h7bI?si=7xUgDV-rY_1oios9 Charles Kabuya????
  7. Sikonge

    JamiiForums Tanzania Watu waliotajwa zaidi kwenye nyimbo za kikongo

    Huyu aliimbwa sana na Madilu Multi System.... Zet Mavuzi. https://youtu.be/Sq_jbFPxaU8?si=pgwEJRAvlSWbAMcH Frida Mushi, Christian Lema ( mwimbaji wa Papa Wemba). Marie-Louise Likuse aka Mère Malou.
  8. Sikonge

    JamiiForums Tanzania Ni wahenga tu watamfahamu huyu jamaa ni nani

    Baba yake USHER ..
  9. Sikonge

    JamiiForums Tanzania Ushauri Balozi HP: Ukiongoka, Kujitenga na Uovu na Kusema Ukweli, Sema Ukweli Wote Sio Ukweli Nusu Nusu!. Jitenge Jumla Sio Mguu Ndani, Mguu Nje!

    Polepole ni Mcheza kamali au Gambler. Kenny Rogers alishatoa wosia kuhusu Gambler kwenye maisha yake anatakiwa aishi au achezeje..... Labda yeye ndivyo kapanga Karata zake .. https://youtu.be/MdgoQyY33Go?si=FnB4Z-7gUon2PziC
  10. Sikonge

    JamiiForums Tanzania KWANINI WAISLAMU WANAITAMANI YERUSALEMU YA WAYAHUDI?

    Ujumbe kutoka kwa Wadhamini wetu: https://youtube.com/shorts/vXI1pd0RJ9U?si=-XcOKh6RqN9C0f0M
  11. Sikonge

    JamiiForums Tanzania Walianza CHADEMA, zikaja nchi jirani halafu kanisa sasa huenda ni zamu ya wasukuma mwisho kabisa ni wanaCCM

    Ulimi hauna mfupa. Hata mimi huwa nakosea na watu wananisahihisha.
  12. Sikonge

    JamiiForums Tanzania Walianza CHADEMA, zikaja nchi jirani halafu kanisa sasa huenda ni zamu ya wasukuma mwisho kabisa ni wanaCCM

    Ludacris.... https://youtu.be/tw429JGL5zo?si=jZpWQzFG9w519Ccn
  13. Sikonge

    JamiiForums Tanzania Iran inajitahidi sana kwa kweli. Ona hizi picha

    Pizda tfui Mat Hahahahaaaaaaa.....
  14. Sikonge

    JamiiForums Tanzania Iran inajitahidi sana kwa kweli. Ona hizi picha

    https://x.com/Megatron_ron?t=jn0nxZjeXSB9VhDeaEG1aQ&s=09 Kama unaweza kutumia Mtandao wa X Basi pitia hapo. Kama upo Tanzania na hauna VPN basi pole yako.... Kwenye Twitter kuna wengi wanaweka hizo habari.
  15. Sikonge

    JamiiForums Tanzania Huu ndio uongo tuliolishwa muda mrefu na wachambuzi wa vita wa JamiiForums juu ya vita ya Iran na Israel

    Uyahudi unarithi kwa Mama. Ndiyo maana tunasema wengi ni Feki. Halle Berry ni Myahudi kweli ila Lenny Kravitz hapana kwani Baba ndiyo Myahudi. Hao wasiojua Historia ya Musk siyo wa kulinganiaha na mimi. Wengine tumeanza kumjua tangu ni Kabury huko SA...
Back
Top Bottom