Recent content by Sikonge

  1. Sikonge

    Nguvu ya Uingereza Ulaya ni ipi exactly?

    Sijawahi kuona JUHA akipigiwa Makofi na Basha la West. Yaani huyo WANAMTEGEMEA anapiga makofi na kumsubiri JUHA na baadaye wanaingiza ndani ya gari wawili tu bila kukaguliwa na kuondoka, Leo MSIKILIZA CNN anamwita JUHA. Anyway, wanasema Don't argue with...
  2. Sikonge

    Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    The price of a 15kg LPG (Liquefied Petroleum Gas) cylinder in Cuba is not straightforward because it depends heavily on who is buying it and through which channel. Here’s a detailed breakdown of the costs as of mid-2024. 1. The Official, Subsidized Price (For Cubans on the Ration Book) ·...
  3. Sikonge

    Watu waliotajwa zaidi kwenye nyimbo za kikongo

    Hivi alikuwepo Mtu anaitwa Lukulasi? Nafikiri walimwita Don King wa Afrika. Ila Didier au Didi Kinuani kweli kaimbwa sana. Kwa UTAJIRI wake wa Almasi alikuwa mdhamini Mkubwa wa Wanamuziki ila alichemsha kuja kumchukua Mke wa JB Mpiana, Mrembo Hamida Shatur. Baada ya hapo, BCBG Wenge...
  4. Sikonge

    Watu waliotajwa zaidi kwenye nyimbo za kikongo

    Sikujua Kama Papito Mbala ni jina La Mtu. Alitoa Hela ndefu sana kwa wimbo huo wa JB Mpiana... https://youtu.be/Lxy2hl3h7bI?si=7xUgDV-rY_1oios9 Charles Kabuya????
  5. Sikonge

    Watu waliotajwa zaidi kwenye nyimbo za kikongo

    Huyu aliimbwa sana na Madilu Multi System.... Zet Mavuzi. https://youtu.be/Sq_jbFPxaU8?si=pgwEJRAvlSWbAMcH Frida Mushi, Christian Lema ( mwimbaji wa Papa Wemba). Marie-Louise Likuse aka Mère Malou.
  6. Sikonge

    Ni wahenga tu watamfahamu huyu jamaa ni nani

    Baba yake USHER ..
  7. Sikonge

    Ushauri Balozi HP: Ukiongoka, Kujitenga na Uovu na Kusema Ukweli, Sema Ukweli Wote Sio Ukweli Nusu Nusu!. Jitenge Jumla Sio Mguu Ndani, Mguu Nje!

    Polepole ni Mcheza kamali au Gambler. Kenny Rogers alishatoa wosia kuhusu Gambler kwenye maisha yake anatakiwa aishi au achezeje..... Labda yeye ndivyo kapanga Karata zake .. https://youtu.be/MdgoQyY33Go?si=FnB4Z-7gUon2PziC
  8. Sikonge

    KWANINI WAISLAMU WANAITAMANI YERUSALEMU YA WAYAHUDI?

    Ujumbe kutoka kwa Wadhamini wetu: https://youtube.com/shorts/vXI1pd0RJ9U?si=-XcOKh6RqN9C0f0M
  9. Sikonge

    Walianza CHADEMA, zikaja nchi jirani halafu kanisa sasa huenda ni zamu ya wasukuma mwisho kabisa ni wanaCCM

    Ulimi hauna mfupa. Hata mimi huwa nakosea na watu wananisahihisha.
  10. Sikonge

    Walianza CHADEMA, zikaja nchi jirani halafu kanisa sasa huenda ni zamu ya wasukuma mwisho kabisa ni wanaCCM

    Ludacris.... https://youtu.be/tw429JGL5zo?si=jZpWQzFG9w519Ccn
  11. Sikonge

    Iran inajitahidi sana kwa kweli. Ona hizi picha

    Pizda tfui Mat Hahahahaaaaaaa.....
  12. Sikonge

    Iran inajitahidi sana kwa kweli. Ona hizi picha

    https://x.com/Megatron_ron?t=jn0nxZjeXSB9VhDeaEG1aQ&s=09 Kama unaweza kutumia Mtandao wa X Basi pitia hapo. Kama upo Tanzania na hauna VPN basi pole yako.... Kwenye Twitter kuna wengi wanaweka hizo habari.
  13. Sikonge

    Huu ndio uongo tuliolishwa muda mrefu na wachambuzi wa vita wa JamiiForums juu ya vita ya Iran na Israel

    Uyahudi unarithi kwa Mama. Ndiyo maana tunasema wengi ni Feki. Halle Berry ni Myahudi kweli ila Lenny Kravitz hapana kwani Baba ndiyo Myahudi. Hao wasiojua Historia ya Musk siyo wa kulinganiaha na mimi. Wengine tumeanza kumjua tangu ni Kabury huko SA...
  14. Sikonge

    Huu ndio uongo tuliolishwa muda mrefu na wachambuzi wa vita wa JamiiForums juu ya vita ya Iran na Israel

    Watengenezaji Silaha Wakubwa Duniani waliopo USA ni Wayahudi. BlackStone ni Wayahudi na kwa kutumia AIPAC, wanaweza Viongozi karibu wote USA, UK na EU. Ndiyo maana wanagombania kumtetea Israel utadhani ni MUME WAO. Wapo tayari kumshughulikia MWANAFUNZI anayepinga mauwaji Gaza huku akiwa ni...
  15. Sikonge

    Hii Ya Askofu G ndio inaitwa Jeuri

    Bahati mbaya umeandika kwa English. Ni kipande muhimu cha Historia ya Dunia. Nilibahatika kwenda kwenye Mjumba wake (Konopiště Castle) huko Czech Republic na ndipo nilijua hii Historia nzima. Baba yake alijua lakini kwamba Archduke anakwenda kuuawa na Black Hand wa Serbia. Baba alikuwa...
Back
Top Bottom