Nikiwa mdogo nikiishi na wazazi wangu kwenye nyumba ya kupanga nikiwa bafuni bahati mbaya nilibembea kwenye bomba ya kuogea inayotoa maji ya mvua (kama tunazijua) si ikavunjika. Nikafunga mlango kwa ndani kisha nikapanda na kutokea juu ya ukuta. Nyumba ilikuwa na wapangaji sita. Acha waanze...
Uzi huu ni mzuri, ila bado unaniweka njia panda kwa sababu, ninakiwanja bunju, pia nafanya biashara ndogondgo, kuna mkopo nategemea kuuchukua, nawaza nikijenga nyumba haitaisha mpaka mkopo uishe ndo nimalizie, pia nawaza kuingia kwenye biashara itakuwaje katika zama hizi?
Wana JF.
Najua naweza pata msaada hapa. Naomba kwa mwenye uelewa wa namna hawa Silent Ocean wanavyofanya kazi.
Je, wanaweza kunisafirishia mzigo kutoka China bila mimi kwenda huko?
Asante wote mtakao nisaidia katika hili.
Habari wanaJF nipo safarini ndani ya basi fulani ya Njombe,
Mmmmhh huo mwendo, unanipa mashaka kama bado kuna utaratibu wa ving'amuzi maana huwa vinalia kila dereva akifika spidi 80 kwa saa.
Kwenye hili basi hakuna hata kubeep, mara kutaka kumpita basi mwenzake mara break za ghafla. Nisaidieni...
HUU NI UPOTOSHAJI MKUBWA.
Kinachojadiliwa ni meseji ya whatsap ambayo yeyote anaweza kuandika. Nimeipata mahali hii taarifa ya kutoka vyanzo vya ndani ya shule yenyewe. Isome kwa umakini utaelewa ni nini kinaendelea.
HUU NI UPOTOSHAJI MKUBWA.
Daa leo napita barabara hivi, nakuta mke wa jirani yangu kasimama kwenye vimiti miti na bodaboda ninayemfahamu, kuniona bodaboda akajidai anaondoka, nilipopita kugeuka nakuta karudi na walivyosimama hatari na boxer imepaki pembeni. Ukweri ni hatari....
Uzi huu umenigusa sana, naona kuna fact hasa kwangu, mi ni mzaliwa wa kwanza, ding anafanya kazi iliyonisomesha mimi ila baada ya mimi kupata kakazi hahangaiki na madogo hata kwa senti.
Wawili nimesha wafanikisha wanakazi zao, wawili wa mwisho nimewasomesha shule binafsi kidato cha kwanza mpaka...
Nimechunguza zaidi nineona alibaba wana kitu kinaitwa trade centre, nimetulia kidogo ili nijiridhishe kwanza na payment methods,wale wa kwanza nimeachana nao, niangalia wengine.
Amenitumia usajili wao, wamesajiliwa 2016, paypal nina acount tayari, ila naona hii ya mauzo/manunuzi ya alibaba itanifaa zaidi kwa kuwa ni wao wenyewe. Ngoja niwaulize kusuhu paypal. Ahsante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.