Recent content by signale

  1. signale

    Ombi: Serikali irudishe kodi ya kichwa

    Walete hata za kwny mita za maji, hizi Kodi na tozo ndo zitatufanya akili zitukae sawa
  2. signale

    Zambia: Mchungaji aliyeomba kuzikwa ili afufuke siku ya 3 kama Yesu akutwa amefariki dunia

    Nahisi kanisa la ufufuo na uzima likijongea huko huko one day yes[emoji1787][emoji1787]
  3. signale

    Askofu Gwajima awataka watu wasiingilie imani ya kanisa lake, hawachanjwi, watakaojaribu kuiingilia wataingia kwenye "crusher" watasagwa

    Daah, hi ndo kazi anaiweza huyu mtu, sio uwakilishi wa wananchi, waliompa ubunge sahv watakuwa wanajuta.
  4. signale

    Kwanini Lusubilo Mwakabibi pamoja na kushitakiwa kwa uhujumu uchumi lakini ameachiwa kwa dhamana?

    Mifumo ya mahakama zetu zimejaa rushwa na kujipendekeza kwa wakubwa! Tungeletewa wale majaji wa Kenya akili zitukae sawa
  5. signale

    Tozo mpya:NMB Huko Bank nyingine pakoje

    Watu wataanza kujitunzia fedha zao wanavojua, navofahamu binadamu unavompa shida ndo atakuwa creative zaidi
  6. signale

    Waziri wa afya Dkt. Gwajima hana legitimacy ya kubaki kwenye hiyo Wizara

    Pamoja na msaidizi wake, wote wanapwaya ktk hizo nafasi, hii wizara inahitaji viongozi wenye busara na waliokomaa. Sijui mteule kwnn haoni hili mbona ipo wazi tu
  7. signale

    Askofu Gwajima: Nasubiri wataalamu wa ndani wa chanjo ya COVID-19 waongee kisha nitawapiga kwa risasi moja tu watawanyike

    Huyu jamaa yeye ndio kigeugeu namba moja, hatofautishi agenda za dini na siasa, afu hiyo chama iliyompa nafasi ya siasa haina hata namna ya kumthibiti, may be thy like the way he is rolling the ball.
  8. signale

    Waziri wa Afya: Watu 408 wamebainika kuwa na Corona , 284 wakiwa katika mashine za oksijeni

    Takwimu hazipo detailed, utafikiri primary school pupil ndo ametoa.
  9. signale

    Tundu Lissu akanusha kuorodheshwa kwenye malimbikizo yake

    Jamaa sahv ni kumfagilia mama tu, anatafuta uteuzi kama kawaida yao nyumbu, wazee wa cheap price, kuunga mkono juhudi.
  10. signale

    Waziri wa Afya, hizi gharama za matibabu Tumbi Hospital zinatisha

    Kuna kitu watu hawajui, serikali ikishalipa mishahara ya watumishi kwenye hz hospital ndo basi, pesa zingine za uendeshaji hazipelekwi, kwahy ili huduma isife lazima wateja walipie hz gharama.
  11. signale

    Wanaolalamikia Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya tuongee hapa kidogo

    Good points, but no. 2 sikubaliani nayo, rais achague watu wenye tija katika kujenga nchi, hata kama hayupo comfortable nao, otherwise ndio kujaza watu wa ndio mama.
  12. signale

    Chopa Mchopanga awa mkuu wa Wilaya Rorya

    Kuteua viongozi toka tabaka zote za jamii ni muhimu ili isionekane kuwa uongozi unamilikiwa na tabaka fulani ktk jamii, cha muhimu ni kuangalia uwezo na busara na watu wenye hz sifa wapo ktk matabaka yote ya jamii. So far kwa hz teuzi naona kuna mchanganyiko mzuri toka tabaka za jamii, but...
  13. signale

    Mwanza: Mtoto ateketea kwa moto wakati wa operesheni ya Kiserikali

    Mhe. Rais tafadhali anza na huyu dc afukuzwe kazi mara moja, ni mpuuzi kabisa. Pia hao askari wa wanyama pori ambao akili zao zimejaa upori upori tu wafikishwe mahakamani kwa kosa la mauaji. Sent from my CAG-L22 using JamiiForums mobile app
  14. signale

    Mwanza: Rais Samia aongea na Vijana wa Tanzania katika Uwanja wa Michezo wa Nyamagana

    Afu mama asiwe anachukua kila ushauri anaopewa na wasaidizi, ataumbuka siku moja, bank zilizopo zinashindwa kutoa hiyo mikopo?
  15. signale

    Maafisa Utumishi wanaleta utani juu ya Watumishi kupanda madaraja, angalia kinachoendelea baadhi ya Halmashauri

    Msumari wa mwisho unapigwa na kasungura kenyewe kadogo, tuwe wazalendo. Hii ni baada ya kimeet criteria zote za promotion
Back
Top Bottom