Serikali ya Samia soon inakwenda kuwaweka ndani wanyonge ...hakuna beberu anayekubali kujenga banda then mifugo ikaendelea kuzulula tu
Ujinga mzigo:
Serikali ya Samia soon inakwenda kuwaweka ndani wanyonge ...hakuna beberu anayekubali kujenga banda then mifugo ikaendelea kuzulula tu
Kupe unasikiaHuko Mjini Posta nasikia watu wanasepa sana
Dodoma mmmh...
Chanjo gani kati ya zilizopo!! Maana UK wanataka yao kwanza ndipo mkae meza moja.Huko kwenye lock down ni mbinu za kizamani.
Sasa hivi watu wanatumia chanjo
Hata yeye waziri anajua hazipo detailed ila zipo katika kiwango kinachotosheleza watu kuchukua tahadhari.Takwimu hazipo detailed, utafikiri primary school pupil ndo ametoa.
Huyu mama ni muongo kuliko Prof. Muhongo. Hapa nilipo Kuna watu 9 wamefariki Leo Kwa COVID-19. Hospital zimejaa wagonjwa. Mbona hakutaja waliokufa? Hiyo idadi ni kutoka mkoa au wilaya gani Tanzania?Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Dk Dorothy Gwajima amesema watu 408 wamebainika kuwa na ugonjwa wa Corona (Covid-19) nchini huku 284 wakiwa katika mashine za oksijeni.
Ni wakati sasa wa Wananchi na asasi na taasisi mbalimbali za kiserikali na zisizo za kiserikali kushirikiana na serikali katika kutekeleza na kuhamasisha maelekezo ya wataalamu wa afya juu ya hatua za kukabiliana na ugonjwa huu.
View attachment 1848604 View attachment 1848605
Kumbe mna takwimu, mbona mlikuwa mnatuficha?Nashauri wasafiri kutoka Kilimanjaro, Arusha, Dar na Mwanza wasiruhusiwe kusambaa mikoa mingine maana katika mikoa hiyo kuna janga la juu na linalotisha la Corona.
Huyu Waziri wa Afya, ni vizuri kama na yeye angepimwa ili kujiridhisha kama na yeye atakuwa hana tatizo la afya ya akili. Vituko alivyokuwa anafanya wakati wa marehemu, havikuwa vinaashiria afya njema ya akili.Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Dorothy Gwajima amesema hadi kufikia Julai 8, 2021 jumla watu 408 walibainika kuwa na ugonjwa wa corona huku 284 wakitumia mitungi ya oksijeni...
Wakifka 6000⁴ naazaWakifika 200000 gwajimabox naomba unitag nikanunue barakoa pale kwa mangi
Bado wanafichaTakwimu hazipo detailed, utafikiri primary school pupil ndo ametoa.
Ingekua PhD yadarasani angekua chizi mbona humuoni hamnazo huyu...Dr yake yakutibu malaria huyoHuyu mama ni PhD Kwa kusomea au ni Dr wa binadamu? Data alizo zitoa Leo ni maajabu ya data
Tuwafurahishe vizuri watoa pesa,lockdown itakosha mioyo yao.Watu 400 tu!
Kuna nchi kila siku maambukizi ni zaidi ya 500 na lockdown hamna.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kiukwel nahis hakuna au kunauwiano wa magonjwa mengine ila wanatoa taarifa ya c19.. kwanza walitaka kuleta panic ila nashukru jamii ilitengezwa vyema Sana na JPM.. HAINA uoga...Tuwafurahishe vizuri watoa pesa,lockdown itakosha mioyo yao.