howardlite
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 234
- 368
Nafasi ya uwaziri, tena wa Afya ni eneo sensitive sana, tena kwa kipindi kama hiki ni more sensitive.
Kwa kipindi hiki cha mgawanyiko mkubwa wa mitazamo kuhusu chanjo kwenye taifa letu,sio hekima kama waziri,msomi na mtaalamu kuzungumzia mambo binafsi ya mtu mwingine.
Hivi work ethics za udaktari zinaruhusu kweli hiki?Kwanini usiwaachie wengine wajibizane lakini usiwe wewe?
Ona kelele zinazopigwa na wananchi kukuhusu,umepoteza sifa ambayo waziri wa afya anapaswa kuwa nazo,mbaya zaidi huchafuki peke ako,na mamlaka ya uteuzi unaipaka matope.
Mamlaka ya uteuzi kwa nafasi hii,kihekima,angalieni upya sio dhambi.
Hekima na busara ni vitu muhimu sana katika uongozi(Reference mfalme Sulemani).
Kwa kipindi hiki cha mgawanyiko mkubwa wa mitazamo kuhusu chanjo kwenye taifa letu,sio hekima kama waziri,msomi na mtaalamu kuzungumzia mambo binafsi ya mtu mwingine.
Hivi work ethics za udaktari zinaruhusu kweli hiki?Kwanini usiwaachie wengine wajibizane lakini usiwe wewe?
Ona kelele zinazopigwa na wananchi kukuhusu,umepoteza sifa ambayo waziri wa afya anapaswa kuwa nazo,mbaya zaidi huchafuki peke ako,na mamlaka ya uteuzi unaipaka matope.
Mamlaka ya uteuzi kwa nafasi hii,kihekima,angalieni upya sio dhambi.
Hekima na busara ni vitu muhimu sana katika uongozi(Reference mfalme Sulemani).