Recent content by Shytown

  1. S

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    Tatizo lenu mmekuja kuijua Irani kwa sababu ya Vita Irani is one of the Giant Country fuatileni huko kwenye mambo ya kimataifa..... Mnaosoma kwa matukio, subirini kombe la dunia mtabiri Brazil itachukua kombe
  2. S

    Ulaya imeamini sasa Israel alikuwa sahihi baada ya Iran Kurusha kombora lenye uwezo wa kupiga nchi za ulaya km 4000 ni kosa kubwa la Iran kimkakati

    Kwa wanaofuatilia taarifa za kimataifa bila kukurupuka wanajua kabisa kuwa, Hakuna kitu cha ajabu .... 1. Irani ipo kati ya Nchi tano DUNIANI ambazo raia wake wamesoma vizuri, na wengi wakiwa wamesoma Sayansi. 2. Irani ipo kati ya Nchi tatu Duniani ambazo zinauwezo wa kutengeneza silaha karibia...
  3. S

    Kwa Wimbi hili la Ushindi wa Vyama Mrengo wa Kulia Huko Ulaya Magharibi, Waislamu walioko Huko Wajiandae Kufunga Virago

    Pamoja na Purukushani za Israel, Waislam wameweza kuwa wengi kuliko Wakristo, sembuse Uingereza yenye utawala wa Sheria? Hata hivyo kama umewahi kuishi ughaibuni, utakuwa unajua kuwa wanaopigwa vita kwenye hayo mataifa sio Waislam wote, bali ni wale wenye msimamomo mkali
  4. S

    Ni kawaida unapobadili vituo vya mafuta au aina ya mafuta gari kuwa nzito au nyepesi na kuongeza au kupunguza ulaji wa mafuta ?

    Kama mafuta yote ni Unleaded yanatakiwa yawe na ubora sawa, kinachotofautisha ni usafirishaji wa hayo mafuta. Kuna hizi kampuni kubwa za mafuta ambazo zina magari yao ya mafuta na kila gari ipo dedicated kubeba aina flani ya mafuta. Na kuna zile kampuni za kuunga unga gari hilo hilo, libebe...
  5. S

    Ashinda milion 30 aapa kuwa tajiri ndani ya mwaka mmoja

    Unajua utajiri wa kwenye Vitabu na utajiri watu wanavyo uchukulia ni tofauti....na nivizuri tuangalie watu wanavyo uchukulia...... Mfano: mtu aliyekuwa anamiliki boda, akiweza kuongeza boda ya pili, kununua bajaji na Guta ni hatua kubwa sana kwake na walio mzunguka hasa maeneo ya nje ya mji na...
  6. S

    Je, unazingatia nini unapochagua UI ya simu

    Binafsi "One UI" ya Samsung naikubali sana kwa customization na sasa hivi Security wise wanajitahidi kwani kila wakishtukia hacker wanatuma update... na ukiwa na simu yao ya Flagship ndio utaifurahia mno..
  7. S

    Wanasayansi Wafichua Dalili za Mwisho wa Dunia!

    Kwa mtu aliyesoma PHYSICS vizuri anajua pasina shaka kuwa mwisho wa Dunia upo wala sio kitu cha kubahatisha. Kwa kifupi; Solar Systerm imeshikiliwa na nguvu inayotolewa na Jua (Sun). Kitu kikitoa nguvu maana yake inapungua . Inamaana Nguvu ya jua inapungua kidogo kidogo kila siku, na siku ambayo...
  8. S

    Kwenye Uislam, Bima ni Haram kama ilivyo kamari

    Samahani Kiongozi, Naona Umeandika mada ambayo huna Elimu nayo ya kutosha hivyo nakushauri ujikite kwenye mada unazo zielewa vizuri, kama kukataza watu Kuiba, kupunja kwenye mizani, kupindisha sheria, Ushirikina, uasharati nk Hizo vitu vya sharia acha wabobevu wa Sharia wavizungumzie...
  9. S

    Nauza ream paper bei 50,000 kwa katoni, quality ya Double A 100%

    Carton ina ream ngapi boss
  10. S

    Donald Trump atangaza kusimamisha vita na Iran kwa siku 5 kuanzia leo

    IRANI HAITAKI MAZUNGUMZO NA WANAFIKI..... WAKATI IRANI INAPIGWA NA KIBARAKA WA MAREKANI (ISRAEL) WALIKUA KWENYE KIKAO CHA MAZUNGUMZO. SASA KUNA UHAKIKA GANI, KAMA MAREKANI & ISRAEL WANAMAANISHA AU WANATAFUTA NAMNA YA KUOKOA SOKO LA HISA LILILOPOROMOKA KULE NEWYORK KWA SABABU YA VITA...
  11. S

    Je, umeshawahi kufikiria nini kitatokea endapo mitume nayo ikaja kumuasi Mwenyezi Mungu huko huko peponi kulingana na wivu la kidaraja baina yao?

    Kwa sababu wewe ndio mwenye akili, Soma mada inayojadiliwa ndio uchangie!!! ACHA KUDANDIA GARI KWA MBELE.....
  12. S

    Je, umeshawahi kufikiria nini kitatokea endapo mitume nayo ikaja kumuasi Mwenyezi Mungu huko huko peponi kulingana na wivu la kidaraja baina yao?

    Nimesema hivi; Shetani hatakuwepo na hata kama angekewepo hatafanya kazi ya kupotosha viumbe. Ni sawa na useme, mtu aliyekuwa hakimu huku Duniani, na kwa Mungu ataendelea kuhukumu watu.... Kumbuka; hapa Duniani tupo kwenye Chumba cha mtihani na ndio sababu Shetani ameachiwa ili Mungu aone...
  13. S

    Iran: Rais Masoud Pezeshkian anakusudia kujiuzulu.!!!!!!

    Israel ndio inaongozwa na Wendawazimu Mwaka jana, Israel iliibuka from no where ikaenda kuipiga Irani mabomu; Ikaambulia kipigo cha mbwa koko, Kama sio Marekani kuja mbio kuokoa jahazi; Ingeachwa magofu. Mwaka huu Netanyahu kadanganywa na Trump karudi tena kuipiga Irani Mabomu.. Bila kujua kuwa...
  14. S

    Iran: Rais Masoud Pezeshkian anakusudia kujiuzulu.!!!!!!

    baada ya mji wa Israel wa Dimona kusambaratishwa na kuachwa magofu jana Netanyahu kaibuka akisema Nguvu ya Irani ni kubwa na inaweza kupiga Nchi yoyote ya Ulaya hivyo anaomba wasaidiwe. Kauli hiyo aliitoa pia Trump wiki iliyopita akiomba msaada baada ya soko la hisa la marekani kushuka kwa...
  15. S

    Iran Wakianza Kushambuliwa Vituo na Maghala ya Mafuta, Hapo Vita Itakuwa Imeisha

    Unajua watu hamjui kuwa Irani ipo kwenye Nchi TANO duniani ambazo raia wake wamesoma vizuri sasa ogopa sana RAIA WENYE ELIMU kichwani Unaharibu kiwanda baada ya wiki Wanatengeneza Irani ipo mbele sana kuliko nchi nyingi za Ulaya ILA kwa kuwa hawajianiki hadharani NAONA WATU WANASIFIA ISRAEL...
Back
Top Bottom