Recent content by Shytown

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mbingu ya Waislamu inatamanisha na kusisimua kuliko ya Wakristo.

    Kwa uandishi huu, sidhani kama umewahi kusoma hata robo ya Biblia unayo iamini Na kama Biblia yenyewe hujasoma, utawezaje kukosoa kitabu cha Quran ambacho hujawahi kusoma? Ulicho andika hapa, ni blaa blaa za mtaaani mnazodanganyana Mf; mtume alikuwa na watoto tena wengi tu mengine, sioni haja ya...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Mbingu ya Waislamu inatamanisha na kusisimua kuliko ya Wakristo.

    Hii Elimu ya kikoloni ya kukariri, imetuletea kizazi cha watu wajinga!
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kumtetea Mungu ni kazi sana!

    ujue kwa Mungu kufa, ni transistion tu kutoka A kwenda B Adhabu ya Mungu ni kubwa sana kuliko kifo na inalenga Watu wanaotesa wengine bila hatia, wanaopunja kwenye mizani, wachawi/washirika, wanasheria wanaonyima watu haki, wanao jilimbikizia mali zisizo za halali nk nk Mwaka mmoja huu huu wa...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Mbingu ya Waislamu inatamanisha na kusisimua kuliko ya Wakristo.

    Kwa watu wanaotumia akili vizuri wanatambua kuwa; Mitume wote wa Mungu akiwemo Muhamad walikuwa na sura mbili. Sura ya Ubinadam na sura ya Utume. Sasa binadamu huchambua sana ule upande wa binadam kama udhaifu wa mtume; wanasahau kuwa mtume ni binadam kama sisi tofauti yake walipewa uwezo wa...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Alijiunga NSSF kwa kutumia Passport, sasa hivi anataka kutoa pesa anaambiwa lazima awe na NIDA. Hii imekaaje kisheria?

    Passport ni kubwa kuliko Nida, na ndio sababu kuipata Passport unatakiwa Document nyingi ikiwemo Nida Hivyo sioni kama ni sahihi kuweka utambulisho mmoja tu wa NIDA ili kuweza kuhudumiwa. Ukweli baadhi ya system zetu zinahitaji maboresho Ni sawa na mtu anachangia michango NSSF/PSSSF kwa miaka...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Samahani mimi sijihusishi na siasa, na ndio sababu post yangu ikawa jumuishi karibu Shytown, na kama unaweza kuniunganishia wateja wa bei nzuri ya mchele itapendeza.....
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    TATIZO LA AFRIKA TUMESOMA ELIMU YA KIKOLONI AMBAYO HAIPI WATU UWEZO WA KUFIKIRI... Kila kitu mtu anataka kufananisha/ unakuta mtu ni Proffesssor una muuliza kitu anakwambia ni Nchi gani imetumia huo mfumo; Maana ya kusoma ni kuweza kuja na mifumo rafiki inayofanya kazi kwetu na sio kila kitu ni...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Binafsi nafikiri hizi teuzi; ziangaliwe, namaanisha kuwekwe utaratibu wa watu wateue watu watakao fanya kazi chini yao. Fikiri wewe ni mkuu wa mkoa halafu mkuu wa Wilaya ni mteule wa Raisi kama wewe, inamaana huna nguvu ya kumuwajibisha. Mawaziri, pia unakuta wakuu wa vitengo vilivyo chini yao...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Ni mashine gani bei kati ya 1m to 5m ukinunua zinaweza kukuingizia kipato kizuri kama side hustle ?

    Jibu swali bosi, ulicho andika ni story kama zile za motivation speaker
  10. S

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya kuwa msomi na mfanyabiashara ni yupi ana advantage kubwa katika maisha ??!

    Binafsi naona Elimu ndio kila kitu; Mtu akiwa na Elimu anaweza kufanya kazi ya taaluma yake lakini pia anaweza kufanya biashara tena hata za kimataifa. Kwa hiyo kuwa na Elimu ina kupa wigo mpana wa kufanya kazi mbalimbali na hata kilimo ufugaji nk. Biashara ni nzuri sana ILA una baki na kitu...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu wa kike anataka nimuoe, je tutakua tumefanya maamuzi sahihi?

    Mmelala sana pamoja - huku mkishinda shetani????? Huyo ukimuoa mtaishi tu vizuri (mapenzi ya kawaida na sio yale ya kujitia kitanzi) na sio rahisi ndoa kuvunjika kwani kila mmoja anauwezo wa kumsamehe mwenzake pale anapokosea...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Ndejembi Kumtembelea Mama yake Humphrey Polepole Jumapili Hii

    Siamini kama ni kweli kwani kutembelea mtu sio ziara hivyo, haitangazwi kabla hajakwenda...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Bila wazungu, maisha yangekuwa magumu sana hapa duniani

    Fuatilia Nchi za Kiafrika za kaskazini zilizo jikita kwenye Elimu yetu ya Asili (Sayansi na Hesabu); zikiongozwa na Misri, Tunisia, Libya, Morocco nk hizo Nchi ukifika kwao hakuna tofauti na mtu aliyeko Ulaya. Kwa Misri wataalam wake wa Hesabu na sayansi walijenga mapiramid hadi leo wazungu...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Utawala wa Iran lazima uangukie Pua Watake was itakaa-Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu!!

    Initial Estimate: When the U.S. and Israel launched strikes on February 28, 2026, President Trump stated the campaign would take about four to five weeks maximum. Kama Trump na kibaraka wake Netanyahu walisema hayo, mwezi February 2026 na hadi sasa Vita inaendelea; Mtu anaye amini matamko yao...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Makamu wa rais Ndejembi aagiza saruji kushuka bei

    Wangeruhusu tu sement itoke China na India tuuziwe shs 15,000 Kwa mfuko. Kule china na India mfuko wa sement reja reja unauzwa kwenye shs 10,000 hivi za kitanzania.
Back
Top Bottom