ujue kwa Mungu kufa, ni transistion tu kutoka A kwenda B
Adhabu ya Mungu ni kubwa sana kuliko kifo na inalenga Watu wanaotesa wengine bila hatia, wanaopunja kwenye mizani, wachawi/washirika, wanasheria wanaonyima watu haki, wanao jilimbikizia mali zisizo za halali nk nk
Mwaka mmoja huu huu wa...