Recent content by Shytown

  1. S

    JamiiForums Tanzania Heche: Mahakama ya Kenya, majaji hawateuliwi na Rais. Kazi zinatangazwa Live, Rais hana mamlaka ya kukataa

    Kiongozi, nimefanya ka utafiti kidogo kwa mtandao nikaona mambo huko Kenya ni tofauti kabisa na unavyofikiri. PITIA HAPO KIDOGO.... In Kenya, Judges are appointed through a competitive selection process managed by the Judicial Service Commission (JSC) The Selection and Appointment Process...
  2. S

    JamiiForums Tanzania WENYE KUFAHAMU KIINGEREZA MTUSAIDIE HAPA. Hili somo muhimu sana.

    Tatizo uelewa wa lugha ya Malkia kwa walio wengi imewapita kushoto; badala ya kuomba watafsiriwe wanaleta vitu vya ajabu ajabu ILI kupotosha mada iliyokusudiwa... Mimi niseme; iwekwe na tafsiri...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa Mama Mjane aliyehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kosa la kununua mihogo ya wizi ya shilingi elfu kumi .

    Inawekana kuna sehemu ya hiyo kesi haijaelezwa hapa...na hiyo sehemu ndio imepelekea hiyo hukumu Kwa sababu hata ukinunua bidhaa za wizi sokoni haufungwi/pigwa faini
  4. S

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Kuna mitungi ya kupikia inauzwa kwa wateja ikiwa inapitisha gesi. Hii ni hatari sana

    Kuna uwezekano hiyo mitungi ni ile iliyojazwa mtaani ILE inayotoka kwenye magari ya kampuni husika, sijasikia hilo tatizo USHAURI; Ukinunua au kubadilisha mtungi, dondoshea maji pale juu kwenye valve; Ukiona dalili yoyote ya maji kucheza kama yanapulizwa ACHA, huo unavuja. Kudondoshea matone...
  5. S

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    BASI 6 KWENDA KIGAMBONI, AU BASI 5 KWENDA GOMS, KWA MFANO ZINAONGEZAJE FOLENI? JE BASI 120 KUCHUUA BARABARA MOJA KWENDA MAGUFULI, NI ZIPI ZINAONGEZA FOLENI? Acha basi ubishi wa darasa la pili......
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mchaga kamwe haisomi namba ya Msukuma

    sorry, mada kama hizi, tulikuwa tunajadili tukiwa darasa la nne...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Mchaga kamwe haisomi namba ya Msukuma

    Wachaga wanajitolea kuleta maendeleo makwao; Wanajenga mashule, barabara, hospitali nk hawasubiri mbeleko kama mikoa mingine ambayo hata kutengeneza madawati ya watoto wao wanasubiri serikali. mna acha watoto wakalie mawe/ndoo madarasani??? Usiwafanishe wachaga na vitu vya ajabu ajabu....
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu naomba mnisaidie.Sitaki kurudi Misri ya u singo maza

    1. wanaume tunapenda kuheshimiwa/usibishane na mume mbele za watu/mbele za ndugu zako 2. wanaume tunapenda sana usafi wa mwili, kitanda, chumba, nyumba na kila kitu 3. wanaume tunachukia gubu (kurudia, rudia kuniambia hata kama nilikosea) 4. wanaume tunapenda kuambiwa asante/ pole nk 5. Wanaume...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Askari watatu wa Uhifadhi Ngorongoro washikiliwa kutokana na kifo cha fundi gereji Ngorongoro

    DU hapa inaonesha askari wanahitaji mafunzo zaidi kwa sababu ilikuwa rahisi tu ku verify Haiwezekani vijana watatu wote mafundi Garage wametoka mjini siku hiyo hiyo - pengine masaa matatu yaliyopita halafu wawe majangili waliotokea ndani ya hifadhi kuwinda. Na hata huko waliko kuwa wanakwenda...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    Kama unafuatilia data za kidunia by 2050 Marekani inaenda kuwa ya tatu kichumi na nguvu za kijeshi Kinara anaenda kuwa China... Na kama pia unafuatilia data za kiuchumi na kijeshi zilizopita duniani; kuna (dola) Empire kadhaa zilikuwa na nguvu kuliko Marekani katika kipindi chake na zote...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Huyu Peter Shalulile ni kiporo cha ugali, usajili wake ni wa mhemko tu, hamna mchezaji hapo

    Peter Shalulile ni mchezaji wa kulipwa wa mpira wa miguu kutoka Namibia anayecheza nafasi ya mshambuliaji. Anajulikana kwa uwezo wake mkubwa wa kufunga mabao na amewahi kung'ara katika Ligi Kuu ya Afrika Kusini (PSL) akiwa na klabu ya Mamelodi Sundowns kabla ya kujiunga na klabu ya Young...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Kwa miundo mbinu hafifu ya jiji la Dar, kulazimisha mabasi yote yaende stand moja naona ni kuongeza msongamano. Najaribu kufikiri utawatoaje au kuwapeleka watu takriban 5000 na 10000 (asubuhi na jioni) ili waweze kuwahi mabasi au kuwafikisha majumbani?. Pengine tungeanza kwanza kupeleka treni ya...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Kwani field wanachuo huwa tunaenda kufanya nini?

    ujue VETA zina specialization isije kuwa umeenda VETA specialized kwa Hospitality na wewe ni Mechanical Engineering wewe ulitakiwa uchague VETA zinazo tengeneza vifaa vya kilimo/ujenzi nk nk
  14. S

    JamiiForums Tanzania Mitego ya Mitandao: Changamoto za Online Dating ukiwa Mtu Mzima (Umri 30+)

    Tumia datting za kulipia boss, takriban 80% zinakuwa za uhalisia Hizo za bure 75% ni feki
  15. S

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    Nafikiri swali lako lingekuwa, Marekani inayojitangaza kuwa ndio kinara wa kijeshi Duniani imeshindwaje kufungua mlango wa Hormuz. Binafsi naona Iran imefungua ulimwengu macho kuwa Marekani si chochote kwenye masuala ya kivita. Marekani ikipigana na nchi kama Ujerumani au China itaachwa...
Back
Top Bottom