Tatizo lenu mmekuja kuijua Irani kwa sababu ya Vita
Irani is one of the Giant Country fuatileni huko kwenye mambo ya kimataifa.....
Mnaosoma kwa matukio, subirini kombe la dunia mtabiri Brazil itachukua kombe
Kwa wanaofuatilia taarifa za kimataifa bila kukurupuka wanajua kabisa kuwa, Hakuna kitu cha ajabu ....
1. Irani ipo kati ya Nchi tano DUNIANI ambazo raia wake wamesoma vizuri, na wengi wakiwa wamesoma Sayansi.
2. Irani ipo kati ya Nchi tatu Duniani ambazo zinauwezo wa kutengeneza silaha karibia...
Pamoja na Purukushani za Israel, Waislam wameweza kuwa wengi kuliko Wakristo, sembuse Uingereza yenye utawala wa Sheria?
Hata hivyo kama umewahi kuishi ughaibuni, utakuwa unajua kuwa wanaopigwa vita kwenye hayo mataifa sio Waislam wote, bali ni wale wenye msimamomo mkali
Kama mafuta yote ni Unleaded yanatakiwa yawe na ubora sawa, kinachotofautisha ni usafirishaji wa hayo mafuta.
Kuna hizi kampuni kubwa za mafuta ambazo zina magari yao ya mafuta na kila gari ipo dedicated kubeba aina flani ya mafuta.
Na kuna zile kampuni za kuunga unga gari hilo hilo, libebe...
Unajua utajiri wa kwenye Vitabu na utajiri watu wanavyo uchukulia ni tofauti....na nivizuri tuangalie watu wanavyo uchukulia......
Mfano: mtu aliyekuwa anamiliki boda, akiweza kuongeza boda ya pili, kununua bajaji na Guta ni hatua kubwa sana kwake na walio mzunguka hasa maeneo ya nje ya mji na...
Binafsi "One UI" ya Samsung naikubali sana kwa customization na sasa hivi Security wise wanajitahidi kwani kila wakishtukia hacker wanatuma update... na ukiwa na simu yao ya Flagship ndio utaifurahia mno..
Kwa mtu aliyesoma PHYSICS vizuri anajua pasina shaka kuwa mwisho wa Dunia upo wala sio kitu cha kubahatisha.
Kwa kifupi; Solar Systerm imeshikiliwa na nguvu inayotolewa na Jua (Sun). Kitu kikitoa nguvu maana yake inapungua . Inamaana Nguvu ya jua inapungua kidogo kidogo kila siku, na siku ambayo...
Samahani Kiongozi,
Naona Umeandika mada ambayo huna Elimu nayo ya kutosha hivyo nakushauri ujikite kwenye mada unazo zielewa vizuri, kama kukataza watu Kuiba, kupunja kwenye mizani, kupindisha sheria, Ushirikina, uasharati nk
Hizo vitu vya sharia acha wabobevu wa Sharia wavizungumzie...
IRANI HAITAKI MAZUNGUMZO NA WANAFIKI.....
WAKATI IRANI INAPIGWA NA KIBARAKA WA MAREKANI (ISRAEL) WALIKUA KWENYE KIKAO CHA MAZUNGUMZO.
SASA KUNA UHAKIKA GANI, KAMA MAREKANI & ISRAEL WANAMAANISHA AU WANATAFUTA NAMNA YA KUOKOA SOKO LA HISA LILILOPOROMOKA KULE NEWYORK KWA SABABU YA VITA...
Nimesema hivi; Shetani hatakuwepo na hata kama angekewepo hatafanya kazi ya kupotosha viumbe.
Ni sawa na useme, mtu aliyekuwa hakimu huku Duniani, na kwa Mungu ataendelea kuhukumu watu....
Kumbuka; hapa Duniani tupo kwenye Chumba cha mtihani na ndio sababu Shetani ameachiwa ili Mungu aone...
Israel ndio inaongozwa na Wendawazimu
Mwaka jana, Israel iliibuka from no where ikaenda kuipiga Irani mabomu; Ikaambulia kipigo cha mbwa koko, Kama sio Marekani kuja mbio kuokoa jahazi; Ingeachwa magofu. Mwaka huu Netanyahu kadanganywa na Trump karudi tena kuipiga Irani Mabomu..
Bila kujua kuwa...
baada ya mji wa Israel wa Dimona kusambaratishwa na kuachwa magofu jana
Netanyahu kaibuka akisema Nguvu ya Irani ni kubwa na inaweza kupiga Nchi yoyote ya Ulaya hivyo anaomba wasaidiwe. Kauli hiyo aliitoa pia Trump wiki iliyopita akiomba msaada baada ya soko la hisa la marekani kushuka kwa...
Unajua watu hamjui kuwa Irani ipo kwenye Nchi TANO duniani ambazo raia wake wamesoma vizuri
sasa ogopa sana RAIA WENYE ELIMU kichwani Unaharibu kiwanda baada ya wiki Wanatengeneza
Irani ipo mbele sana kuliko nchi nyingi za Ulaya ILA kwa kuwa hawajianiki hadharani
NAONA WATU WANASIFIA ISRAEL...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.