MSIPANGIE WATU MAISHA, WAPO WALIO OA MWARI NA WAMEKALIA KUTI KAVU ...
IFIKE MAHALA TUJUE KUWA, HABARI ZINGINE NI PERSONAL (UAMUZI BINAFSI WA MTU)
KILA KUKICHA SINGLE MOTHER KAMA VILE HAKUNA HABARI NYINGINE....MUCH OF ANYTHING IS HARMFUL!!!
Binafsi siungi mkono hoja yako kwani
Jeshini ni mahala salama kabisa (achana na story za kijiweni mnazo dandanyana)
Jeshi hasa la sasa lipo very organized na professional, uliza sisi tulioenda miaka ya hivi karibuni.
Lakini pia, kizazi hiki kimejaa wimbi kubwa la wazazi wanaolea watoto kwa...
FAKE NEWS!
There are online rumors regarding an alleged gay party held in Saudi Arabia during the Hajj season, claiming that the event was organized with the approval of royal officials. However, there is no credible evidence to support these allegations, which appear to be unverified rumors...
HII NI FAKE NEWS.....
TATIZO WATU WENGI HAWAELEWI ENGLISH...
Mfano: Wewe ukajiunga kwenye kampuni ya kuchakata tumbaku ukaambiwa wafanyakazi hapo wanakula lunch ya kiti moto na hakuna mbadala. Tatizo ni kampuni au tatizo ni wewe uliyejiunga kwenye kampuni kabla ya kuuliza uataratibu wa chakula???
Kwa matambo ya Trump hakuna mtu angeamini kuwa angepigana vita na Iran kwa kipindi chote hiki na kushindwa kupata ushindi. Hii imeonesha kuwa, Nguvu ya kijeshi ya Marekani sio kubwa kama wanavyo inadi ila inapropaganda nyingi sana kuliko uhalisia.
Kwa sasa Trump anahaha kutembelea Ulaya na...
Umeandika vizuri ILA umesahau moja
Shinikizo la kuoa mke moja, nalo limechangia pakubwa tu
Mwaka juzi; kenya walifanya reseach na kugundua kuwa, Mombasa ambapo walio wengi ni Waislam wanao oa wake wengi; Idadi ya single mother na watoto wa mtaani ni wachache sana
ILA miji mingine kama Kisumu, nk...
Ikitokea mimi nikioa single mother, mashart ni kumu adopt mtoto niwe mlezi na nikate mawasiliano kabisa na baba yake. Tofauti na hapo, baba achukue mtoto wake akalee mwenyewe....
Niliona rafiki yangu anakula maisha na single mother akanipa code kuwa; "uki oa single mother mwenye kipato...
Yaani ukwepe majukumu ya kulea mwanao, halafu uanze kwenda kujibaraguza kwenye ndoa ya mwenzako.
Hii akili ya wapi? CHUKUA MWANAO UKAMLEE MWENYEWE!!!
Tofauti na hapo fuata masharti hata ukiambiwa, ukamuone mtoto jumapili ya mwisho ya mwezi wa nne. (every after 4 months)- ina maana mara tatu kwa...
MWANAMKE MKISHA ACHANA AKAOLEWA, HUYO SIO MZAZI MWENZAKO TENA, NI MKE WA MTU.
HURUHUSIWI TENA KWENDA KUMUONA....JAPO UNARUHUSIWA KUMUONA MTOTO MARA CHACHE CHACHE.
UKITAKA KUMUONA MTOTO WAKO MARA KWA MARA, MCHUKUE UKAMLEE MWENYEWE
TOFAUTI NA HAPO, FUATA MASHARTI!!!
Binafsi nafikiri Sheria ya kubinafsisha mali aliyoiweke Mwalimu Nyerere iendelee kuwepo ILI wale wote watakaobainika kutumia raslimali za umma kwa faida yao binafsi mara watakapo tiwa hatiani ziweze kubinafsishwa na kutumiwa kwa manufaa ya umma.
Nafikiri kuifuta kabisa hii sheria ni sawa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.