Recent content by Shytown

  1. S

    JamiiForums Tanzania Wengi hamuelewi hili ila masingo maza wenyewe wanakuona mwanaume mdhaifu or maybe retard kwa wewe kukubali kuwa step father😁

    MSIPANGIE WATU MAISHA, WAPO WALIO OA MWARI NA WAMEKALIA KUTI KAVU ... IFIKE MAHALA TUJUE KUWA, HABARI ZINGINE NI PERSONAL (UAMUZI BINAFSI WA MTU) KILA KUKICHA SINGLE MOTHER KAMA VILE HAKUNA HABARI NYINGINE....MUCH OF ANYTHING IS HARMFUL!!!
  2. S

    JamiiForums Tanzania Hatari ya kuwalazimisha watoto wa watu kwenda JKT!

    Binafsi siungi mkono hoja yako kwani Jeshini ni mahala salama kabisa (achana na story za kijiweni mnazo dandanyana) Jeshi hasa la sasa lipo very organized na professional, uliza sisi tulioenda miaka ya hivi karibuni. Lakini pia, kizazi hiki kimejaa wimbi kubwa la wazazi wanaolea watoto kwa...
  3. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania The 10 Best Places to Kiss

    Post nyingine mnatuletea ni za wazungu... We got our own ways of showing love!!!
  4. S

    JamiiForums Tanzania Waislamu wakasirika na kulaani kwa kitendo cha mashoga kufanya sherehe Saudi Arabia.

    FAKE NEWS! There are online rumors regarding an alleged gay party held in Saudi Arabia during the Hajj season, claiming that the event was organized with the approval of royal officials. However, there is no credible evidence to support these allegations, which appear to be unverified rumors...
  5. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Help me tafadhali...

    Ilikuwa kidogo nianze kumwaga maushauri kumbe post ya miaka takriban 18 iliyopita?
  6. S

    JamiiForums Tanzania Muungano uruhusu wawakilishi toka Tanganyika katika Bunge la Zanzibar

    Huu Muungano wetu, ukiufikiria vizuri kuna vitu unatakiwa uviache tu kama vile unasoma biblia na kuamini kuwa kila kitu kipo sawa.....
  7. S

    JamiiForums Tanzania CHINA: Inaripotiwa kuwa waislamu wanalazimishwa kula nguruwe na kunywa pombe katika kambi za kudhibiti watu wasiotaka kufata mifumo ya uchina

    HII NI FAKE NEWS..... TATIZO WATU WENGI HAWAELEWI ENGLISH... Mfano: Wewe ukajiunga kwenye kampuni ya kuchakata tumbaku ukaambiwa wafanyakazi hapo wanakula lunch ya kiti moto na hakuna mbadala. Tatizo ni kampuni au tatizo ni wewe uliyejiunga kwenye kampuni kabla ya kuuliza uataratibu wa chakula???
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha chama kuongozwa na mtu ambaye yupo gerezani kwa makosa ya uhaini ni dhahiri kwamba ubongo wa Mwafrika bado upo analogy

    Pamoja na kwamba sipendi kujihusisha na siasa LAKINI; Yule ni mtuhumiwa, hajahukumiwa Hayupo gerezani bali yupo mahabusu
  9. S

    JamiiForums Tanzania Trump ametufumbua Macho kuhusu nguvu ya Kijeshi ya Marekani

    Kwa matambo ya Trump hakuna mtu angeamini kuwa angepigana vita na Iran kwa kipindi chote hiki na kushindwa kupata ushindi. Hii imeonesha kuwa, Nguvu ya kijeshi ya Marekani sio kubwa kama wanavyo inadi ila inapropaganda nyingi sana kuliko uhalisia. Kwa sasa Trump anahaha kutembelea Ulaya na...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Wimbi la ‘single mothers’, wa kulaumiwa zaidi ni Wazazi na Serikali

    Umeandika vizuri ILA umesahau moja Shinikizo la kuoa mke moja, nalo limechangia pakubwa tu Mwaka juzi; kenya walifanya reseach na kugundua kuwa, Mombasa ambapo walio wengi ni Waislam wanao oa wake wengi; Idadi ya single mother na watoto wa mtaani ni wachache sana ILA miji mingine kama Kisumu, nk...
  11. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sawa Umemuoa mzazi mwenzangu (Single mother) Na ukakubali kumlea mtoto wangu; sasa ni kwanini unipangie namna ya Kumuona mtoto na mzazi mwezangu?

    Ikitokea mimi nikioa single mother, mashart ni kumu adopt mtoto niwe mlezi na nikate mawasiliano kabisa na baba yake. Tofauti na hapo, baba achukue mtoto wake akalee mwenyewe.... Niliona rafiki yangu anakula maisha na single mother akanipa code kuwa; "uki oa single mother mwenye kipato...
  12. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sawa Umemuoa mzazi mwenzangu (Single mother) Na ukakubali kumlea mtoto wangu; sasa ni kwanini unipangie namna ya Kumuona mtoto na mzazi mwezangu?

    Yaani ukwepe majukumu ya kulea mwanao, halafu uanze kwenda kujibaraguza kwenye ndoa ya mwenzako. Hii akili ya wapi? CHUKUA MWANAO UKAMLEE MWENYEWE!!! Tofauti na hapo fuata masharti hata ukiambiwa, ukamuone mtoto jumapili ya mwisho ya mwezi wa nne. (every after 4 months)- ina maana mara tatu kwa...
  13. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sawa Umemuoa mzazi mwenzangu (Single mother) Na ukakubali kumlea mtoto wangu; sasa ni kwanini unipangie namna ya Kumuona mtoto na mzazi mwezangu?

    MWANAMKE MKISHA ACHANA AKAOLEWA, HUYO SIO MZAZI MWENZAKO TENA, NI MKE WA MTU. HURUHUSIWI TENA KWENDA KUMUONA....JAPO UNARUHUSIWA KUMUONA MTOTO MARA CHACHE CHACHE. UKITAKA KUMUONA MTOTO WAKO MARA KWA MARA, MCHUKUE UKAMLEE MWENYEWE TOFAUTI NA HAPO, FUATA MASHARTI!!!
  14. S

    JamiiForums Tanzania Sheria ya kubinafsisha mali

    Binafsi nafikiri Sheria ya kubinafsisha mali aliyoiweke Mwalimu Nyerere iendelee kuwepo ILI wale wote watakaobainika kutumia raslimali za umma kwa faida yao binafsi mara watakapo tiwa hatiani ziweze kubinafsishwa na kutumiwa kwa manufaa ya umma. Nafikiri kuifuta kabisa hii sheria ni sawa na...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini majiji yetu Tanzania hatuwezi kuyafanya yawe masafi kama Kigali?

    Mbona mji wenyewe hauna watu? au umepiga picha masaki ukafikiri na kariakoo kupo hivyo hivyo?
Back
Top Bottom