Kiongozi, nimefanya ka utafiti kidogo kwa mtandao nikaona mambo huko Kenya ni tofauti kabisa na unavyofikiri. PITIA HAPO KIDOGO....
In Kenya, Judges are appointed through a competitive selection process managed by the Judicial Service Commission (JSC)
The Selection and Appointment Process...
Tatizo uelewa wa lugha ya Malkia kwa walio wengi imewapita kushoto; badala ya kuomba watafsiriwe wanaleta vitu vya ajabu ajabu ILI kupotosha mada iliyokusudiwa...
Mimi niseme; iwekwe na tafsiri...
Inawekana kuna sehemu ya hiyo kesi haijaelezwa hapa...na hiyo sehemu ndio imepelekea hiyo hukumu
Kwa sababu hata ukinunua bidhaa za wizi sokoni haufungwi/pigwa faini
Kuna uwezekano hiyo mitungi ni ile iliyojazwa mtaani
ILE inayotoka kwenye magari ya kampuni husika, sijasikia hilo tatizo
USHAURI; Ukinunua au kubadilisha mtungi, dondoshea maji pale juu kwenye valve; Ukiona dalili yoyote ya maji kucheza kama yanapulizwa ACHA, huo unavuja.
Kudondoshea matone...
BASI 6 KWENDA KIGAMBONI, AU BASI 5 KWENDA GOMS, KWA MFANO ZINAONGEZAJE FOLENI?
JE BASI 120 KUCHUUA BARABARA MOJA KWENDA MAGUFULI, NI ZIPI ZINAONGEZA FOLENI?
Acha basi ubishi wa darasa la pili......
Wachaga wanajitolea kuleta maendeleo makwao; Wanajenga mashule, barabara, hospitali nk hawasubiri mbeleko kama mikoa mingine ambayo hata kutengeneza madawati ya watoto wao wanasubiri serikali. mna acha watoto wakalie mawe/ndoo madarasani??? Usiwafanishe wachaga na vitu vya ajabu ajabu....
1. wanaume tunapenda kuheshimiwa/usibishane na mume mbele za watu/mbele za ndugu zako
2. wanaume tunapenda sana usafi wa mwili, kitanda, chumba, nyumba na kila kitu
3. wanaume tunachukia gubu (kurudia, rudia kuniambia hata kama nilikosea)
4. wanaume tunapenda kuambiwa asante/ pole nk
5. Wanaume...
DU hapa inaonesha askari wanahitaji mafunzo zaidi kwa sababu ilikuwa rahisi tu ku verify
Haiwezekani vijana watatu wote mafundi Garage wametoka mjini siku hiyo hiyo - pengine masaa matatu yaliyopita halafu wawe majangili waliotokea ndani ya hifadhi kuwinda. Na hata huko waliko kuwa wanakwenda...
Kama unafuatilia data za kidunia by 2050 Marekani inaenda kuwa ya tatu kichumi na nguvu za kijeshi
Kinara anaenda kuwa China...
Na kama pia unafuatilia data za kiuchumi na kijeshi zilizopita duniani; kuna (dola) Empire kadhaa zilikuwa na nguvu kuliko Marekani katika kipindi chake na zote...
Peter Shalulile ni mchezaji wa kulipwa wa mpira wa miguu kutoka Namibia anayecheza nafasi ya mshambuliaji. Anajulikana kwa uwezo wake mkubwa wa kufunga mabao na amewahi kung'ara katika Ligi Kuu ya Afrika Kusini (PSL) akiwa na klabu ya Mamelodi Sundowns kabla ya kujiunga na klabu ya Young...
Kwa miundo mbinu hafifu ya jiji la Dar, kulazimisha mabasi yote yaende stand moja naona ni kuongeza msongamano. Najaribu kufikiri utawatoaje au kuwapeleka watu takriban 5000 na 10000 (asubuhi na jioni) ili waweze kuwahi mabasi au kuwafikisha majumbani?. Pengine tungeanza kwanza kupeleka treni ya...
ujue VETA zina specialization
isije kuwa umeenda VETA specialized kwa Hospitality na wewe ni Mechanical Engineering
wewe ulitakiwa uchague VETA zinazo tengeneza vifaa vya kilimo/ujenzi nk nk
Nafikiri swali lako lingekuwa, Marekani inayojitangaza kuwa ndio kinara wa kijeshi Duniani imeshindwaje kufungua mlango wa Hormuz. Binafsi naona Iran imefungua ulimwengu macho kuwa Marekani si chochote kwenye masuala ya kivita. Marekani ikipigana na nchi kama Ujerumani au China itaachwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.