Baada ya kutumia muda mwingi kukitetea chama cha Magamba (CCM) hapa JF bila kuweza kubadili upepo wa vuguvugu la ukombozi natangaza rasmi kuachana na siasa za maji taka za CCM na kujikita katika ukomboza wa kweli wa Mtanzania kupitia M4C.
Aidha kwasasa nakujikita kutetea wanyonge wenzangu...
Uongozi wa kamati maalum ya kudai haki na maslahi ya walimu kupitia CWT- Chipolopolo; kwa huzuni kabisa tunapenda kuutanfazia Umma kuwa tarehe 01/07/2012 siku ya Jumatatu Walimu wote wa shule za sekondari na shule za Msingi wanakwenda kuanza mgomo wa siku tano kuishinikiza Serikali kuongeza...
mashabiki wa chadema cjui umetolewa kafara mnachokipenda hakijulikani lakin tunawasamehe hamjui mlitendalo daima CCM itabaki kutawala hadi hapo kikosi cha wizi chadema kiongozwa na mbowe, slaa kitakapokwenda jela
Kampeni za uchaguzi ndani ya jimbo la arumeru zimepamba moto huku upepo wa kisiasa ukivuma vibaya kwa chadema baada ya kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu ndani ya Jimbo la arumeru. Aidha kwasasa ushindani mkali wa kuwania kiti hicho umebaki kwa vyama vya CCM na TLP. Chama cha TLP kimetamba...
Sema kweli msafara wa Nasari na CDM yenu umezomewa ulipokuwa ukiingia kitaa cha amburueni hadi kudikia baadhi ya viongozi kulalamika katika ofic ya kata. Habara zilizopo sasa wakazi wa eneo hilo hawataki kabisa CDM wafanye mkutano wao wa kampeni kwani wanaposha umma
Acha kupiga yowe hapa funguka kiukweli CCM leo imefunika mbaya kwani mgombea wake amepokelewa kwa maandamano na shwangwe kubwa kutoka wakazi wa sehem hiyo huku wakiimba Chadema tuacheni na CCM yetu nendeni na vurugu zenu.
Jana Chadema ilikosa watu katika mikutano yake ndio ikamulazimu Mgombea wao kujipitisha pitisha katika masoko, shuleni na misibani hakika upepo kwao unaweendea vibaya sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.