Recent content by Shyfar

  1. Shyfar

    Natafuta engine ya subaru legacy bsportwagon

    Hello naweza pata natafuta nonturbo engine ya subaru legacybsport Ej 20 yenye puli moja kulia moja kushoto.
  2. Shyfar

    Je, unamfahamu mnyama anayeitwa Nyegere/Honey Badger? Mnyama mwenye wivu kupindukia

    Naomba nijue nyegele jike anakuajee ni mpole auu
  3. Shyfar

    Nimekuta akaunti yangu ina nyongeza ya kufuru la fedha

    ripoti tu kama un uhakika huna hizo hela ni uungwana ukaripoti ukathibitishiwa kuliko kukaa kmya ukatafutwa
  4. Shyfar

    Hili la Arusha linahitaji mjadala mpana, ukisoma barua ya wafadhili utajifunza mengi

    wameelewa nani yuko real na nani anafake
  5. Shyfar

    Hili la Arusha linahitaji mjadala mpana, ukisoma barua ya wafadhili utajifunza mengi

    hii point smtme anafanya kitu ali akuone utafanyaje so na wewe unatakiwa ufanye vilevile unayotakiwa kuwafanyia kuliko kusema eti angekuwa mpole tu unatakiw upime mambo mangapi maybe ashakaa kimya smtime unatkaiwa urise voice on spot when needed...
  6. Shyfar

    Ubinafsi na Dharau ya Washkaji/Machalii wa Arusha kwa WanaDSM

    hakuna mtu mjanja zaid ya mwingne coz kila mtu anaishi kutokana na mazingira yake kuna watu dar washambaa zaidiii kuliko hata mtu aliyepo sumbawanga mjini....
  7. Shyfar

    Ubinafsi na Dharau ya Washkaji/Machalii wa Arusha kwa WanaDSM

    yaani arusha wako reall dar wanashea sana wanashea sana vipodozi na dada zao
  8. Shyfar

    Ubinafsi na Dharau ya Washkaji/Machalii wa Arusha kwa WanaDSM

    arusha wanapenda story za kiume ngumuu kwa expirience yangu ya kukaa nao kusoma nao sasa wengi wao wa kutoka dar pwani na moro wanakuwa waongeaji sanaa af wnakuwa easy kuongea story za jokes mademu mademu kucheka cheka sasa like unakuta wa atown wanapenda story maybe "kuzungumzia jins ya life...
  9. Shyfar

    Walimu wa kike wanahitajika

    mbona haujanicheki jmani na namba yangu nimeitoa hapo??? 0718780348
  10. Shyfar

    Walimu wa kike wanahitajika

    ok sawa nasubiri
  11. Shyfar

    Walimu wa kike wanahitajika

    Naomba namba ya simu au nitafute my no ni 0718780348 TUWASILIANE
  12. Shyfar

    Hongera mamlaka ya kivuko Kigamboni

    ha ha ha bora kufa ukiwa una sifu uwanja wa taifa kuliko kujifungia ndani...
  13. Shyfar

    Gwajima: Sina ugomvi na Jeshi la Polisi wala Serikali

    mbona kwa uelewa wangu hyo story kma inamsafisha hivi gwajima...wht z da fact?? maviongozii ya dini mnatuchanganya tuuu
  14. Shyfar

    Godoro 5x6 na Vyombo kwa 80,000/= tu

    piga picha tuvione
Back
Top Bottom