Niwazi kwamba Israel haina uwezo wakupambana na Palestine kutokana na kuishiwa mbinu za kivita, Israel imekuwa ikitegemea msaada Kutoka Mataifa Kama USA na UK, hivyo baada ya USA kuyumba kiuchumi imepelekea ata Israel kukosa nguvu za kuikabili Palestine
MGOGORO WA ISRAEL NA PALESTINA.
Imeandikwa na Shusa Luck Shusa luck
Naomba uni follow Kisha tuendelee
NINI CHANZO CHAKE, NINI KINAENDELEA NA NI IPI SULUHU YA KUDUMU?
#UZI [emoji3468]
Uzi huu utaangazia uhalisia wa mgogoro kwa uwazi bila upendeleo. Hivyo kama una mihemko ya itikadi za kidini...
Acha uongo mzee, mpaka sasa Russia imetekeleza mauaji ya askari zaidi ya 52 wa Ukraine, wewe hizi Taharifa za Russia kupigwa umezitoa wapi? Isipokuwa siku ya Jana (ijumamosi) Ndege ya kivita ya Russia ilidondosha bomu kwa bahati mbaya inchini Russia na kusababisha kuanguka kwa majengo
Kuna usemi unasema kwamba when things go right go left, wanachokifanya akina Tundurisu na Fatima karume ni kutuonyesha watanzania nikwanamna gani wanapigania Matumbo Yao nasio wananchi, but all in all JPM was the best leader #rest_in_power_my_leader
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.