Naomba kuendelea na mada.
Jamaa ndio kaingia kingi na muda si mrefu nitaenda nchini kwao tukafanye yale mambo yetu ya utambulisho kwa upande wa kwao.
Kikubwa zaidi jamaa wa zamani naye amejitokeza anakuja na madinner kila kukicha lkn nayatilea nnje.
Nambombe
Mmh, haya majina mwishowe tutaandika matusi.
Pesa za watanzania zinaliwa na watanzania wenyewe. Si afadhali huyu mama tunamuona ikila kuliko hao wengine wanavyozichezea.
Tanzania ni nchi tajiri sana basi tu watu wake ndio wamekosa maarifa na uzalendo.
Mbona tungekuwa mbali sana na...
We umkondo wa Sizwe
Huyo mama ni mwenyekiti wa WAMA pia ni FIRST LADY so anayo haki ya kupata mapokezi makubwa eti
Huyo bwana makamu naye amepooza ka vile waziri mkuu
Wacha mama aje juu.
Sishangai kwa meseveni kumuweka mkewe kwenye ngazi ya juu ni kwa vile hawa wengine ni vilaza.
Heh! Hembu mwacheni ajinome awamu ya mwisho hii.
Hivi lsxima tuwe wakweli , leo hii ukiwa rais wewe utaacha kumtreat mkeo unaye amka naye kitanda kimoja!
Please tuamke jamani....
Bwana, we jana nimetoka church nawasha TV michenga kibaooo.
Sasa tutakuwa na ving'amuzi vingapi ndani ya nyumba? Maana hiki ambacho nakitumia siku zote sipati local news zaifi ys TBC1 na CITIZEN ambayo ni kenya.
Hii ni biashara huria ya ving'amunzi Tanzania
@ Ngoshwe Hivi hadi leo haujajua kuwa WaTZ tuna tatizo la uvivu na kutokujiandaa mapema kabla ya siku ya tukio.
Hiyo ni aibu yetu sote hapo hao jamaa wanafikiria ten percent zao tu hapo akili haifanyi kazi.
siku hii ni muhimu sana kwetu kwani na hakika kuwa kilamoja wetu ameisha poteza ndugu, rafiki na jamaa kwa janga hili. HIvyo ni vyema tuwakumbuke ndugu zetu na kujifunza kutoka kwao.
Kinga ni bora kiliko tiba.
Watanzania wenzangu tuwena mazoea ya kuwa tunatumia kondom kwende tendo la ndoa...
mie wameniacha hoi kwenye suala la kubadilisha rangi ya bendera , nyusi na kuweka nyekundu hapo ni tatizo tayari. maana ya rabgi nyekundu ni umwagaji wa damu.
inamaana kuna damu inategemewa kumwagika soon.
jamani tuwe macho hapo
Napenda kuwashukuru wadau wote waliotoa ushauri na wale waliochukua nafasi hii kwa kukagua grammar na kiswahili changu na maandiko yangu.
Jambo la muhimu kwangu ilikuwa kupata mawazo ambayo yatanisaidia katika kufanya maamuzi katika maisha yangu.
Mungu awabariki na kuwaongezea hekima wale wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.