Need ushauri

Need ushauri

@ Ponera katika kuanzika kuna makosa na sidhani kama niliomba ushauri wa lugha jamami hembu turudi kwenye mada.
 
washauri jamani wakikosa cha kuandika inabaki kutafuta kasoro wasepe utafikiri vyama pinzani lol
 
he he he, na kuhangaika kote huku
unadhani kuna ndoa kwa Mghana ama Mnaija?

Umeliwa parefu, ni waongo wa mapenzi hao na wanapenda K kama hewa.

hahahaahaaa Kongosho jamaaaniii wengine waghana mashemeji zetu wameoa tu vzuri mi mwenyewe kuna okonkwo ananyemelea ngoja nimlie timing kwanzaaa.....af nipruv usemi wako! Loooool
 
Last edited by a moderator:
Napenda kuwashukuru wadau wote waliotoa ushauri na wale waliochukua nafasi hii kwa kukagua grammar na kiswahili changu na maandiko yangu.
Jambo la muhimu kwangu ilikuwa kupata mawazo ambayo yatanisaidia katika kufanya maamuzi katika maisha yangu.
Mungu awabariki na kuwaongezea hekima wale wote waliochangia masa hii.

nitawajulisha maamuzi yangu tena hapo baadaye
 
Naomba kuendelea na mada.
Jamaa ndio kaingia kingi na muda si mrefu nitaenda nchini kwao tukafanye yale mambo yetu ya utambulisho kwa upande wa kwao.
Kikubwa zaidi jamaa wa zamani naye amejitokeza anakuja na madinner kila kukicha lkn nayatilea nnje.
 
Back
Top Bottom