Recent content by Shukuru Kojaboy

  1. S

    Nimekabidhi kazi ya Ujenzi Bagamoyo

    hongera mkuu.
  2. S

    QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

    UTAMU WA PIPI MATE YAKO,NA UTAMU WA STORY NI LEGE.
  3. S

    CCM yasikitishwa, yaomba radhi kwa Bango lenye ujumbe wa Uchochezi Zanzibar

    tunapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa tu. tuseme hili bango hawakuliona wakati limebebwa,
  4. S

    Rais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo

    Amani Ndio Nguzo Kuu Dunia, Cha Msingi ccm na cuf wakae chini wayamalize kwa amani,
  5. S

    UKAWA na Lowassa ni waongo sana kuliko Al Sahaf wa Iraq

    wafamaji tu nyie, Hapa Kazi Tu
  6. S

    Mbowe: UKAWA na wapenda Mabadiliko, Hatutahudhuria Sherehe za Kuapishwa kwa Dr. Pombe Magufuli

    HATA MSIPOENDA MAGUFULI ATAAPISWA TU. KWANI NYIE MMEKUWA JIJI MKUU ANAYETAKIWA KUMWAPISHA MAGUFURI. MAGUFULI NI RAIS WA TANZANIA SI WA CCM, NYIE VP, HAaaaa!. MTAKE MSTAKE MAGUFULI ATAWATAWALA TU. KAMA VIPI MWAPISHENI WENU NAYE KAMA MNAUWEZO HUU.
  7. S

    Masanja Mkandamizaji achukua fomu ya kugombea Ubunge Ludewa

    KATIKA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA 1977: IBARA YA 67 INASEMA. 67.-(1)Bila kuathri masharti yaliyomo katika ibara hii, mtu yeyote atakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa mbunge endapo, .(a)ni raia wa Jamhuri ya Muungano aliyetimiza umri wa miaka...
Back
Top Bottom