Enyi wana ukawa kubalianeni yakua mlitaka vya kunyongwa!!!! Mlimwona Dr slaa kama hafai vile sasa mwamkumbuka angalien msituletee mzaha kwa Amani ya tanzania
Hakika nawwza kusema upeo wako hauna kutu....kama nchi yenye aman Na kwamtu mwenye akil nzur lazima utambu kuwa kombe limehamia chato...kwaiyo tukubal matokeo tusukume mzigo chin ya mchapa kazi mahil.!!!!! Jarib awam ya saba wenzang Na msizoee vya kunyongwa!!!!!!
Enyi watanzania wa leo,hiki kinacho endelea bunden hadi siku za j.pili mnaona kina leta masilahi ya wa tanzinia kwa ujumla....mnadhan nchi zenye machafuko ya kisiasa yalianza VP....jipange msije kutuletea maafa hapa nchi ya aman....mnacho kifanya sio cha kupewa usafiri bule Na kiinua mgongo cha...
Sku zote watanzania so kwamba tuna uelewa saw a.....
Hiyo katiba ya mamilion ya watanzania igesambaa kwanza wanyamwez waisome waelewe then mpange mkakati madhubuti WA kuwafikia walengwa waone km wataipenda ama lahhhh! So mnapanga kuipigia kura wakat hajulikan......Tafakari Na hatua mbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.