Unajua siku zote kazi za nabii ndio zinamtambulisha biblia yenyewe inatuongoza kwamba mwaminini mungu mthibitike waaminini manabii mfanikiwe .Hii inatuforce sisi mumwamini pia je utajiuliza kwamba nabii was kweli ni yupi ? biblia inatuambia kwamba nabii wa kweli ni yule anaetamka kitu kikawa...
Dah mtunzi yuko vizuri hongera kwake
mkuu Casuist unapataga wapi hizi hadithi coz sio rahisi kupata hadith zote nzuri ila ww umenishangaza hadithi zako zote ni nzuri tupeane basi siri mkuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.