Recent content by Shondola

  1. Shondola

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Makonda na Sixtus Mapunda

    Hii ni barua ya wazi kwenu nyote hasa ya juu ya Vita hivi Mlivyoamua kuvianzisha Dhidi ya Dkt. Emmanuel Nchimbi Naandika haya nikiwa na uhakika na pasi na shaka yoyote kukuelezeni hayo mnayoyafanya wala hamtakaa mfanikiwe labda mumjaribu Nchimbi mwingine. Binafsi nimeona na Nchi imeona na...
  2. Shondola

    JamiiForums Tanzania Siri ya UDP na Nyumba Kubwa;

    Kumekuwa na sintofahamu inayoendelea na wengi kutokujua ni nini hasa kinachoendelea ila kwa kuwa siri haijawahi kuwa ya watu wawili mambo yameanza kuvuja Ifahamike tu kuwa si rahisi sana kuelezwa yote lakini mwanzo mdogowa jambo huendeleea kutoa picha halisi ila ukitaka kujua mengi Abdallah...
  3. Shondola

    JamiiForums Tanzania UVCCM Arusha yapata tapeli mzuri

    UVCCM Mkoani Arusha Yapata Tapeli Mzuri wa Kuiongoza Haijaisha hata miezi miwili toka uchaguzi wa Marudio ufanyike lengo likiwa kujaza nafasi mbali mbali zilizoachwa wazi ndani ya CCM Mkoani Arusha. Uchaguzi huo ulijaza nafasi mbali mbali ikiwemo ya aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Arusha...
  4. Shondola

    JamiiForums Tanzania Ni vita baridi kati ya Kikwete na Magufuli

    #Mchakato ndani ya CCM Warejewa # Gazeti la Jamhuri lahusishwa # Kauli za Membe zazua gumzo # Zanzibar kumbe ni Mtego # Matamko ya Vijana wa CCM ni shida # Kauli ya JPM Arusha yazua utata # WanaCCM wasema Lowassa si tatizo bali ni CCM wenyewe Ni takriban miezi miwili sasa tangu...
  5. Shondola

    JamiiForums Tanzania Magufuli sasa kufuta ibara ya 46 (3) ya katiba

    Chanzo cha ndani Ikulu kimetoa habari kwamba mpaka sasa kazi zinazofanywa na Magufuli si mageni hata kidogo. Kws mujibu wa chanzo hiki ni kwamba mafile yaliyoko mezani yalipelekwa siku nyingi sana na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Dr. Hoseah ila Serikali iliyokuwa ilipuuzia na kuyaweka kando...
  6. Shondola

    JamiiForums Tanzania Dr.Aman Karume: Sioni Tofauti kati ya Hotuba ya Zitto na ile ya Lowassa

    Unapozungumzia siasa za hapa Nchini Tanzania hasa katika upande wake wa pili yaani Visiwa vya Zanzibar hutoweza kumaliza mazungumzo yako ama tafiti zako pasipo kutaja jina la Mzee Amani Karume. Mzee Karume ndiye muasisi wa Mapinduzi Visiwani Zanzibar toka miaka '60. Kama ilivyo katika Mataifa...
  7. Shondola

    JamiiForums Tanzania CAG: Magufuli na Mwakyembe wawajibishwe

    Kila kunapokucha Taifa letu linaendelea kuingia katika giza tororo hasa kutokana na baadhi wa wale walioaminiwa na Raisi kuhakikisha kuwa wanaendelea kuziacha Wizara zikiwa hoi kutokana na Ufisaidi wa kutisha. Kabla hata swala la Escrow halija futika katika mioyo na fikra za Watanzania jambo...
  8. Shondola

    JamiiForums Tanzania Ntatangaza Nia Mapema Machi 2015 - Dkt. John Pombe MAGUFULI

    Ndani ya CCM mnyukano unazidi kuendelea katika kuelekea kumtafuta mtu atakaye mrithi JK mwaka huu. Sintofaham imeendelea kujitokeza hasa kutokana na kuahirishwa kws Vikao mbali mbali vya CCM na vile vile kubadilishwa kwa Mikoa iliyokuwa ikiandaa Mikutano hiyo. Mathalan habari za ndani ya Chama...
  9. Shondola

    JamiiForums Tanzania Skendo ya Sukari Yaendelea Kugawa Wabunge

    Unapozungumzi Kikao cha Bunge kinachotazamiwa kuanza mapema wiki ijayo si rahisi sana kusahau kuzungumzia skendo ya SUKARI ambayo kwa sasa imekuwa ikiitafuna Nchi. Tumetoka kwenye Skendo kubwa ya Account ya Tegeta Escrow majuzi na sasa Skendo ya Sukari limekuwa ni janga kwa Taifa hasa...
  10. Shondola

    JamiiForums Tanzania Maswali kumi kwa Edward Lowassa na Wafuasi wake

    Hahahaaaa Hongera sana Mkuu umewajibu Wambea wa ufasaha na uhalisia,kimsingi post kama hz hazina ladha tena nashaur vijana wanaotumiwa watunge story nyingine hii imeshaboa. Tutalivuka Daraja Tukilifikia CC: Vijana wa Wama na Makonda
  11. Shondola

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Rais Jakaya Mrisho Kikwete

    Hdb mh rais tunakutakia maisha marefu,lkn pia naomba nikukumbushe watanzania wanahitaji kufahamu yale majangili 40 hatari kabisa duniani na baba lao yupo arusha
  12. Shondola

    JamiiForums Tanzania Lowassa: Wasomi wasaidie jamii kutatua migogoro ya ardhi

    Shukrani sana Mkuu, leo hata mimi situmiinguvu kubwa kwa Uzi huu, kifupi Mh Lowasa amewasikia,amewaelewa na wala hatawaangusha waTanzania, na watanzania wanamhitaji,ni suala la muda tu.Mungu ibariki Tanzania, Mungu Mbarik Lowasa
  13. Shondola

    JamiiForums Tanzania Lowassa: Wasomi wasaidie jamii kutatua migogoro ya ardhi

    Naaam Mh umenena Vema, kwa raha zako malizia na Rais wa JMT 2015
  14. Shondola

    JamiiForums Tanzania Lowassa: Wasomi wasaidie jamii kutatua migogoro ya ardhi

    Hizo ndo zile akili za kushikiwa, Wewe unasema Lowasa mwizi, katiba kwa nini watu wanataka Raisi mwizi? None sense Rais Uhuru Kenyatta na Makamu wake Ruti mbona wana Kesi ICC lkn bado wanaongoza nchi na inashine kuliko Tz mwenye uhuru wa kusafiri kila siku. Madagascar walichagua DJ sawa...
  15. Shondola

    JamiiForums Tanzania Lowassa: Wasomi wasaidie jamii kutatua migogoro ya ardhi

    Watanzania wanakuhitaji sana Mh,Lowasa. Matatizo kama haya N-nji tunataka Yawe historia . T215EL Jisajili kwa No hy
Back
Top Bottom