Recent content by shommylove

  1. shommylove

    Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

    duuuuh mwamba pole xana ila msaaada mkubwa ni kanisani au msikitini kaombewe au wakufanyie dua
  2. shommylove

    Robert Kidiaba aukwaa ubunge Congo

    duuh kaula
  3. shommylove

    Pesa inakurudisha kuwa kijana hata kama ulianza kuzeeka

    kweli pesa ni sabuni ya roho
  4. shommylove

    Haya kizingiti kingine tena kwenye katiba

    mpe mwongozi wa kikatiba coz wanafikiri wananchi hatusomi katiba na kuzielewa ndio maana wanatupeleka kama watoto
  5. shommylove

    MWANZA: Ajiua kwa kujirusha kutoka ghorofa ya 5 Bugando

    kwan milembe ilisha hanishiwa gorofa ya 5 ?
  6. shommylove

    MWANZA: Ajiua kwa kujirusha kutoka ghorofa ya 5 Bugando

    kwan milembe imehamishiwa gorofa ya 5 c huwa ipo chin kabxa?
  7. shommylove

    Swali: Bado kuna umuhimu wa kuweka Pesa nyingi Bank?

    mmmmh tunaogopa ipo siku zitafumgwa kama forex beurew
  8. shommylove

    Demu wangu anataka kutoa mimba.

    haaaa labda hana malengo ya kuolewa yaaan kajtambulishe kwao
  9. shommylove

    Demu wangu anataka kutoa mimba.

    ongea nae kiutaratibu au jaribu kufka kwao kwa lengo la kujitambulisha il ajue humchezei na una malengo nae
  10. shommylove

    Hivi ni kweli Magufuli anatuambia watanzania ni wajinga hatujui haki zetu na hatujitambui

    ni kwel watz hatujitambi wala haja kosea kama kwel katoa kauli hyo
  11. shommylove

    Athari za kuwa kwenye uhusiano na mwanamke aliyekuzidi umri

    mmmmmmh mbona ma shugaaa mamy hayafanyi hvyo au yenyewe umri wao ni kmubwa sana yanajua kulea.?
Back
Top Bottom