Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
"Wameshaliona litanzania ni linchi likubwa lina madhahabu lina kila kitu lakini ni eneo la watu ambao hawajitambui huo ndio ukweli japo sio maneno mazuri sana".Rais Magufuli.
#KuapishwaViongoziwateuleIkulu.
Najiuliza ile kauli ya Kenyatta rais wa kwanza wa Kenya aliyomwambia Nyerere kuwa
Watanzania ni sawa na maiti kuwaongoza maana hawataweza kuamka milele kudai haki zao naona Magufuli naye anaibariki kabisa.
Kwa sababu anafanya atakavyo watu wako kimya kazi kupongeza tu
#KuapishwaViongoziwateuleIkulu.
Najiuliza ile kauli ya Kenyatta rais wa kwanza wa Kenya aliyomwambia Nyerere kuwa
Watanzania ni sawa na maiti kuwaongoza maana hawataweza kuamka milele kudai haki zao naona Magufuli naye anaibariki kabisa.
Kwa sababu anafanya atakavyo watu wako kimya kazi kupongeza tu