Ili apate hiyo 50/50 ni lazima awezeshwe kwanza maana mfumo dume umechukua nafasi kubwa katika jamii.
Wanahitaji equal opportunities kwenye elimu, uongozi n.k.
Hivyo vyote vinamilikiwa na mwanaume. Ili aanze kuipata 50/50 ni lazima awezeshwe kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo kibao ila hujaonyesha alipochumia tumbo. Halafu unapata wapi muda wa kufuatilia matumizi ya fedha ya mtu asiyekuhusu? Kama kampuni ni yake sio mali ya umma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.