Recent content by Shomari SN

  1. Shomari SN

    Askari mstaafu: Walichofanya Mdee na wenzake pale Segerea ni sawa na Gari kugonga Treni kwenye "Railway cross Road"

    Unasimuliwa kisha unakuja kusimulia. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Shomari SN

    Wanawake wa kiafrika ni wanawake wa ajabu sana

    Ili apate hiyo 50/50 ni lazima awezeshwe kwanza maana mfumo dume umechukua nafasi kubwa katika jamii. Wanahitaji equal opportunities kwenye elimu, uongozi n.k. Hivyo vyote vinamilikiwa na mwanaume. Ili aanze kuipata 50/50 ni lazima awezeshwe kwanza. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Shomari SN

    Naomba tafsiri ya sentensi hii kwa lugha ya kiswahili

    Wakuu naomba kujuzwa hiyo sentensi ('Framework of agreement' kwa Kiswahili') kwa lugha ya Kiswahili please Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Shomari SN

    Mke wangu bado anawasiliana na Ex wake

    Nakuongeza cheo kingine. . Utakuwa Rais wa Kijiji. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Shomari SN

    Mke wangu bado anawasiliana na Ex wake

    Ili mwishoni apate tuzo ya HIV! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Shomari SN

    UEFA Champions league - 16 knock out stage, mechi kali kuliko zote ni Real madrid vs Manchester city

    Sure! Atletico ile ya wabishi na wahuni imepotea siku hizi. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Shomari SN

    Nipeni mbinu nijinasue, mke wangu ananiendesha kama gari bovu

    Umesahau kuweka picha ya wife.... ushauri utakuwa batili.
  8. Shomari SN

    Mbunge CHADEMA atishiwa maisha, kisa fomu dhidi ya Mbowe

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  9. Shomari SN

    Kipanya awashtukia wateule

    Maelezo kibao ila hujaonyesha alipochumia tumbo. Halafu unapata wapi muda wa kufuatilia matumizi ya fedha ya mtu asiyekuhusu? Kama kampuni ni yake sio mali ya umma.
  10. Shomari SN

    Beyond Incompetence: Reform the AG Office

    Dawa ya deni kulipa!
  11. Shomari SN

    Je, kuna uwezekano kuwa baadhi ya fedha za umma zilikuwa/huwa zinaingizwa kwenye akaunti binafsi ya Rais?

    Rais ni taasisi. Hiyo si account binafsi ni account ya Rais. Akitoka madarakani ajaye anaweza kuitumia kwa masuala ya ki-Rais.
Back
Top Bottom