Hata wewe na wenzio wote wachumia tumbo tuHuyu kipanya ni mchumia tumbo kama zito na mbowe hana lolote
State agent
Maelezo kibao ila hujaonyesha alipochumia tumbo. Halafu unapata wapi muda wa kufuatilia matumizi ya fedha ya mtu asiyekuhusu? Kama kampuni ni yake sio mali ya umma.Kwa tunaomfahamu Masoud Kipanya tunamjua ni mchumia tumbo. Mwanzoni mwa miaka ya 2000 alikuwa na kampuni yake KP. Ipo? Si aliifilisi kwa kukimbiza sketi za Jangwani na Kibasila, mwishowe akarudi kuganga njaa Clouds! Huyo anawatisha ninyi wa Ufipa msiomjua!
Maelezo kibao ila hujaonyesha alipochumia tumbo. Halafu unapata wapi muda wa kufuatilia matumizi ya fedha ya mtu asiyekuhusu? Kama kampuni ni yake sio mali ya umma.
Umesahau leo wikiendi na kesho tunaenda kupiga kura!!!!Nakuona umepiga suti yako tayari kwenda kuchukua buku zako 7 kutoka lumumba baada ya hii post yakoView attachment 1269746
Kama yeye anaupata muda wa kuchora watu na kukimbiza sketi za wanafunzi, basi jua hata mimi napata muda wa kumfuatilia. Si na yeye ni 'public figure'?Maelezo kibao ila hujaonyesha alipochumia tumbo. Halafu unapata wapi muda wa kufuatilia matumizi ya fedha ya mtu asiyekuhusu? Kama kampuni ni yake sio mali ya umma.
Huyo ndio mimi. Unanionaje??Nenda mkahitimishe ushenzi wenuView attachment 1270045
Wewe unafanya nini mtandaoni kama sio upashkuna? Kula siku Bashite, Bashite! Sio upashkuna huo?? Pumbavu!!!Huo ndiyo tunaitaga upashukuna
Wanazingua sana na kujisahau kabisaHasa ma rc na ma dc
Wewe na yeye nani mchumia tumbo? Unajipendekeza ili uonekane bora,Huyu kipanya ni mchumia tumbo kama zito na mbowe hana lolote
State agent
Sawa sasa kwenye ubora wangu. Vipi kuhusu wewe kuwa nyumbu??Kwenye ubora wako
State agent ni mpiga tarumbeta aliyeamua kujitoa ufahamuHuyu kipanya ni mchumia tumbo kama zito na mbowe hana lolote
State agent
Hivi yeye anachumia Nini makalio?
Hata wwe ukitumbuliwa mirija yako ya upigaji ikizibwa akili utakuwa na akili