Recent content by sholaa

  1. S

    Kutoa gari Bandarini

    Bandarini ni Port Charges ambavyo ni kiasi kidogo kama laki tatu na point na storage charges tu inategemea kama hutochukua muda mrefu kutoa gari yako maana storage huwa inahesabiwa kwa siku ushuru ni TRA,halafu wakala wa meli pia wana heal unatakiwa kuwalipa,na agent.Kazi inakuwaga kwenye...
  2. S

    Kuitwa kwenye Usaili Fair Competition Commission

    Habari zenu humu! kwa wale walio apply majina yenu hayo yametoka kwenye magazeti ya leo KUITWA KWENYE USAILI FAIR COMPETITION COMMISSION (FCC) ,MACHI 2014 INVITATION FOR INTERVIEW The Fair Competition Commission (FCC) hereby notifies the following short-listed candidates who had...
  3. S

    Dawa ya uzazi

    unapatikana wapi?
  4. S

    Alama/ishara/dalili za mwili wako zitakufahamisha ovulation imewadia

    Mzizimkavu please naomba email yako nna shida sana sana tafadhali
  5. S

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Ukulima wa vitunguu kwa kweli ni mzuri na una faida kubwa kuliko kufikiria kuajiriwa ingefaa vijana tuwekeze kwenye kilimo vitunguu vinalimwa sana maeneo ya Morogoro na Iringa
  6. S

    Navutiwa sana na mwanamke mweusi

    Kwa kweli black is beautiful
  7. S

    Nimgaya shida! wehehe mpo?

    Asante sana kwa kumfahamisha maana watu huwa wanadandia treni kwa mbele..nalipenda sana kabila langu mnyalukolo ndi mgaya sida
  8. S

    Maofisini vijana wakitanzania wavivu na wezi

    Ukweli kabisa sana sana ofisi za kiserikali huko ndo usiseme
  9. S

    Thamani ya Sugu na CHADEMA Mbeya yazidi kushuka kwa haraka

    Acha kashfa umeona Iringa ndo wana njaa sana eehh? Halafu chuki za ukabila huo ujue kutaja mikoa wakati Tanzania tunakataa ukabila haijakaa sawa kabisa
  10. S

    Ni TPDC kampuni au TPDC University?

    kupata GPA ya 1 au upper second sio guarantee kwamba utakuwa competent at work they are very wrong kwa kweli ni graduates wangapi hapa TZ wanamaliza vyuo wakiwa watupu kichwani na wakiingia kwenye interview wanatoka kapa? huku ukiangalia vyeti amescore high GPA kazi inahitaji how competent you...
  11. S

    Huyu wife na mimba yake anakera.

    Vumilia tu ni ya muda hapo anakukera ila akizaliwa utakuwa unaringa mtoto wako na hayo maudhi uyavumilie tu mkuu
  12. S

    Jamani hii ni serious naomba mnisaidie ushauri sitanii please naomba mtu asifanye mzaha

    Oa wa kwanza huyo wa pili pia kuna possibility akitongozwa na mtu na kumuona wa kufaa atakukimbia akitendwa arudi kwake kwasababu keshaona we ndo wa kumuondolea machungu pale anapotendwa
  13. S

    Malori makubwa ya mizigo katika barabara za MANDELA na MOROGORO yaanze saa5 usiku

    Hii ni point kwa kweli tunateseka sana na foleni barabarani na kupoteza muda unafika nyumbani umechoka sana halafu unakuwa na wajibu wa kujihimu asubuhi sana kwenda kibaruani
  14. S

    Nafasi za kazi za PSPF

    Dena nlitaka nijue usiwe kimbelembele kujibu kama mdomo wako hauna break
  15. S

    Nafasi za kazi za PSPF

    we stevoh hukulazimishwa kujibu kama unaona haina maana kwako changia mada zingine zipo nyingi tu humu JF
Back
Top Bottom