Recent content by Shokolokobangoshey

  1. S

    Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

    Jamani sijaona Njuweni hapo! Wala Chura hana Mbavu! Kusini hiyo. Ngoma za mgweno na mpare hizo Early 80's hiyo
  2. S

    Makinda amwambia Machali ana laana, naye amwambia Makinda ni dikteta!

    Ahhhhhh wanatakana hao suluhisho ni kukaa nao kikao kimoja cha pombe then wakishalewa mnawaweka hotelini chumba kimoja baada ya hapo mtawaona wanaheshimiana na wakikutana kila mmoja anang'ata kucha
  3. S

    TOYOTA RAV-4 brand new mpaka kufika Dar ikilipiwa ushuru na usafiri hugharimu zaidi ya Mil 120

    Kaka mimi nadhani doubt ya watu sio kwamba hizo RAV4 hazifiki bei hiyo wengi wetu tunajuwa kuwa Rag 4 brand new ni expensive ila sasa doubt ya watu ni je hizo RAV4 zitanunuliwa kweli brand new? Kwa uzowefu tulionao wengi wetu na serikali yetu watanunua second hand kama kawaida na kuzipiga polish...
  4. S

    Basi la Dar Express lapata ajali Wami

    Daraja la wami limefungwa hakupitiki kuna Bajaj imepinduka ilikuwa imebeba mbao kuelekea Tanga na imeziba njia
  5. S

    Rais aunda Tume ya kuchunguza Operation tokomeza

    Kaka kuunda tume sio kazi kazi ni kutekeleza maoni na mapendekezo ya matokeo ya Tume! Iliundwa tume ya katiba hapa kwa mbwembwe ila furaha yote ikawa shubiri kwa walewale walioiteuwa tume baada ya maoni na matokeo ya tume kuwa kinyume na matakwa ya watawala! So let's keep watching the series...
  6. S

    Dar: Mamba auliwa maeneo ya Kinondoni - Morocco eneo la THT zamani

    Sio mamba huyu ni Kenge mzee tu! Mamba angekuwa keshakulaga watu kadhaa loong tym mnafanya mchezo na mamba nini?
  7. S

    Komando wa kike Jeshini

    Hata huyo Hamza Kalala mwenyewe alishaamka!
  8. S

    Yaliyojiri: BUNGE Maalum la Katiba - TBC LIVE - Feb 18, 2014

    Hahahahaha! Tz ni zaidi ya tunavyoifahamu, kumekucha Bunge la katiba uchaguzi wa kwanza wafanyika na kura baada ya kuhesabiwa zikakutwa zinazidi idadi ya wajumbe walioko ukumbini! Uchaguzi warudiwa kaazi kwelikweli kama ni kweli basi ukijipindua tu katiba inachakachuliwa
  9. S

    Precision Air wamshusha Dr. Azaveli Rwaitama kwenye ndege kisa Lugha

    Ahhh alikosea tu msamehe bure kumbe alitakiwa kusema Dr Rweikiza vile au Dr Rwejuna? Inawezekana ni Dr Rweyemamu huyo
  10. S

    Tapeli mkubwa jijini Dar es Salaam: Malik Hussein Rawji

    Jamaa alikuja mjini kama wiki mbili kabla yako kwa hiyo hamjapishana sana na wewe kuja mjini!
  11. S

    Serikali kugawa Tablets sekondari zote nchini. Utekelezaji umeanza!

    Duh kwa mara ya kwanza na itakuwa world record kwa mtoto kutumia Tablet huku akiwa kakaa juu ya jiwe chini ya mti au ndani ya kijengo cha udongo na uniform zilizochanika makalioni! Think big viongozi wetu.
  12. S

    Gari kutetemeka

    Engine mounting na silence ndio vitu vya kuangalia mkuu na vile vile ingekuwa vizuri kama ungesema uko wapi ili upate kuelekezwa mafundi wazuri.
  13. S

    Nataka ku-export gari yangu, naombeni utaratibu

    Sasa chief hapo wewe hutakiwi kusumbua kichwa anayetakiwa kusumbua kichwa ni huyo anayelinunua kwani makodi mengi ni applicable kwa importer than exporter na natumaini pia anayelinunua ndiye atakayegharamia usafirishaji wa hilo gari! Wewe kama uliliadvertise kwa dollar 2000 basi utachukua dollar...
  14. S

    Picha: Kukamatwa kwa maiti Morogoro na madawa ya kulevya

    Duh kazi ipo watu hadi wanadiriki kubebesha maiti madawa ya kulevya? Kweli dunia kwishney! Lakini mimi nataka kuuliza kidogo mnifafanulie hili swala linanitatiza sasa huyu marehemu alimeza haya madawa akiwa hai then akafariki baadae au hawa jamaa waliichukua maiti wakaisokomezea madawa? Manake...
Back
Top Bottom