Basi la Dar Express lapata ajali Wami

Basi la Dar Express lapata ajali Wami

Hebu tufafanulie kidogo gari lilikuwa linatoka wapi na linaenda wapi.Na vipi kuhusu hali ya abiria?

Hebu soma taratibu utaona amesema Dar to Nairobi

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Pole ni sana Mungu awape wepesi majeruhi.
 
Mungu mkubwa
Hayo mabasi yana quote za bible kila gari ni ulinzi kamili
 
naona wahusika wanaandaa picha ili kuleta habari kamili, picha tayari jamani msiendelee kupiga tena nyanyueni gari basi muondoke?
 
Daraja la wami limefungwa hakupitiki kuna Bajaj imepinduka ilikuwa imebeba mbao kuelekea Tanga na imeziba njia
 
Basi la kampuni ya Dar Express limepinduka leo asubuhi karibu na maeneo ya Wami mkoani Pwani wakati likielekea Arusha

Majeruhi wapo ila mpaka sasa hakuna taarifa za vifo.

Taarifa zitafuata.


JAMIIFORUMS: Habari ya ajali hii sio ya kweli.Ajali hii ilitokea Tarehe 9 May, 2014 karibu na daraja la Mto Wami.

==> Basi la Dar Express lapata ajali Wami
 

Attachments

  • IMG-20150416-WA0000.jpg
    IMG-20150416-WA0000.jpg
    89.1 KB · Views: 1,376
Naamini kabisa kuna kitu hakiko sawa, haiwezekani kila leo ni ajali, ajali, ajali, ajali!
 
Imekuwa kama maigizo ya bongo muvi vile au mashindano ya taarabu! Chanzo cha ajali nini tena? Au ndiyo yaleyale mwendokasi!
 
Sie wenye imani haba, tumeshaanza kuhusisha ajali hizi na kafara za uchaguzi.
^^
 
basi la DAR express kutoka dar kwenda nairobi limepata ajali maeneo ya mto wami na kupinduka....hapajaripotiwa kifo chochote ila majeruhi ni wengi
 
Back
Top Bottom