Recent content by Shmuel

  1. Shmuel

    JamiiForums Tanzania Nahisi kukata tamaa. Nifanye nini kujinasua?

    Mambo kama hayo mtafute sangatiti ndugu
  2. Shmuel

    JamiiForums Tanzania Hivi huyu Wastara hana ndugu zake?

    Kama anaumwa kweli wacha aombe hata kila siku maana wapo watakaomsaidia unaweza kuwa na ndugu na hata siku moja usipate kuhisi kama wapo au hawapo.
  3. Shmuel

    JamiiForums Tanzania Simba SC 5-1 Pamba SC | NBC Premier League | KMC Complex | 08.05.2025

    Simba 3 Pamba 0
  4. Shmuel

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Nimeumia sana chama kuvunjika na kuparaganyika siku 70+ za uongozi mpya!

    Kikosi cha bwana Mbowe kinaelekea kuchanganyikiwa
  5. Shmuel

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Nimeumia sana chama kuvunjika na kuparaganyika siku 70+ za uongozi mpya!

    Chama kipi kilichovunjika mbwa wewe Chama kipi kilichovunjika mbwa wewe tamaa yenu ya nyama na pombe za bure ndio zilikuwa zikaiue chama ila mmeshashitukiwa takataka kabisa.
  6. Shmuel

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Siasa za upinzani zimefikia kilele kwa CHADEMA, hakuna mbadala wake

    Kwa hali ya siasa ya nchi hii ilivyo nini haswa kitatokea iwapo chama kikuu cha upinzani kikashika dola??
  7. Shmuel

    JamiiForums Tanzania Takwimu zinavyomkataa Ibra Traore kama mkombozi wa Burkinabe na Waafrika

    Siku zote viongozi wa kweli ambao wanafanya kazi kwa ajili ya raia wao wanaonekana hawafai kwa sababu wanazuia kula za mabeberu kutoka Ulaya na America.
  8. Shmuel

    JamiiForums Tanzania Rais Samia angekuwa Raia na amezaliwa Marekani angelazimishwa Kugombea Urais na angepita na kushinda kwa kura nyingi sana kuwahi kutokea

    Marekani au mererani Marekani au mererani unaizungumzia hapo??
  9. Shmuel

    JamiiForums Tanzania Aliyeng'atwa na Nyoka afia Kituo cha Afya kisa hana 150,000 Wilayani Babati

    Hawa wataalamu wa afya wanaleta njaa kwenye uhai wa mtu takataka kabisa
Back
Top Bottom