Recent content by SHITWANU

  1. SHITWANU

    Donald Trump amjibu Papa Francis

    Mm sioni la maana aliloongea kwa sababu ktk tafiti za ukuaji wa dini duniani Uislam ndiyo dini inayoongoza kupanuka zaidi ktk pande zote za mabara yote!!
  2. SHITWANU

    Kubomoa nyumba 20,000 kwa mkupuo, huyu kweli sio mwanasiasa

    The hard way is the only way!! Tunawapenda walaaji was mabondeni ila hali ilipofikia sasa in bora tuumie kwa muda mfupi lakini tupate suluhu ya kudumu, Nimeshawahi kuishu kinondoni Moscow jirani na msikiti wa Bi lela ninajua watu wanavyoteseka wakati was mvua!! Wakati umefika wahame no way out!!
  3. SHITWANU

    Habari Nzuri: DPP Kapewa Taa ya Kijani; Akishindwa Atatumbuliwa!

    Kumpinga Magufuli kwa mwana Chadema ni sawa na kumpinga mwasisi wao was Chama, Mh Edwin Mtei na in kuonesha ulofa na upumbavu wa wanachama was chadema!!
  4. SHITWANU

    Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mwenye kazi na kipato kizuri

    Ndugu mtoa Mara hujafafanua msomi ktk taaluma IPI, maana sidhani mwanamke msomi ktk fani ya dini au masuala ya ndoa na familia atakuwa saw a na wa Rani nyingine , pili mapenzi fall anywhere, ndoa nyingi Leo watu wanaangalia status ya MTU has a kipato elimu sio mapenzi MTU at a act yuko in love...
  5. SHITWANU

    Zitto: IPTL Wamelipwa Bilion 8 toka Magufuli awe Rais

    Jamaa kazi anayo maana mikataba inategemea watangulizi walisaini vipi ktk makubaliano gani? Magufuli yy atadili na Yale yaliyo chini take kulingana na sheria!?
  6. SHITWANU

    Hospitali Kuu ya Taifa Muhimbili yapokea vitanda na magodoro

    Aah Tanzania na Watanzania kila kitu mnatafuta pakusemea jiaminini na mvue itikasi zenu mjenge taiga siasa 2020 sio sasa!!
  7. SHITWANU

    Balaa halitaletwa na T.B. Joshua

    Stupid TB Joshua alitabiri uchukuali ea Lowassa yaani kushinda sasa alikuja kuepusha au kulisafisha jina man angeusha umaarufu
  8. SHITWANU

    Wadhifa mpya wa mheshimiwa Edward N. Lowassa

    Sasa angefanya mini nyoo angeona moto ameshindwa amaekubali kiutu uzima chapwa
  9. SHITWANU

    Katibu wa UVCCM wilaya ya Mbulu ateuliwa mbunge viti maalum CHADEMA

    Hahahaah CCM inaendesha huku na huku CCM ni ile ile jamani hii monopartism wakuu.
  10. SHITWANU

    Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

    In kweli hali hiyo inasababishwa na Hugo unaye sex nae au hao unaokutana nao wewe una nyota ambayi unataja usafi haipenfi uchafu ukioa mwanamke was nyota yako hiyo hali itaondoka na ndiyo hiyo soul connection inayoongelewa na mtoa mada ingawa hakubezi sana ktk hili nalokupatua
  11. SHITWANU

    Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

    Nakubaliana na we we ndugu kwa 98%. Na kuongeza kidogo ktk uumbaji bunadamu huanza na viungo vya uzazi hii INA maana take ktk athari za kiukuaji kwa viumbe. Spiritually pia tunaona kila siku watu wakishikamana ktk ndoa zao na maisha hunyooka vzr ila wakianza kusuguana ktk relationship yao hats...
  12. SHITWANU

    Tamko: CUF yaipa ZEC siku tatu kukamilisha mchakato wa uchaguzi

    Inaangaliwa quality vote yenye maslahi ya Taifa hatuangalii popular vote!
  13. SHITWANU

    TANZIA: Mzee Emanuel Makaidi, Mwenyekiti mwenza wa UKAWA afariki dunia

    Huyu Ndio mpambanaji mpaka Nyerere aliweza kumpinga sio hawa wa leo kujipendekeza tu kwA Nyerere ili waonekani watu RIP mkuu ngangari ww! utakumbukwa kwa ujasiri wako!
  14. SHITWANU

    Balozi Juma Mwapachu na ubinafsishaji wa mashirika ya umma!

    Huyu si ndiye mwenye La Cassa La chicca huyu au siye?
  15. SHITWANU

    Kumchagua Lowassa ni kuendeleza utawala wa Kikwete

    Boga ww! chadema ya sasa ina misimamo ipi wewe?
Back
Top Bottom