bado hawajaanza kuaga, tunawasubiri viongozi wa chama cha chadema. nafikiri itachukua muda sana. ila inasikitisha . kweli chadema wako vizuri wanajali sana watu na sio vitu!!!!!!!!!!!!!
Uwanja wa soeto leo watu wamejaa sana, wanasubiri kuwaaga marehemu waliofariki katika mlipuko wa bomu. Wananchi hawataki askari police tena, wanajeshi ndio wametawala uwanja tu. Viongozi wote wa chadema wameenda kwa mkuu wa mkoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.