Kamanda gani mzembe hivi
Nilisikia kuwa katika kundi hilo kulikuwa na vijana wa kisomali walioshiriki kumpiga Nasari. Mtu anayetaka kuwa Rais kwa udi na uvumba anatumia vikundi vya kupiga watu tena vikishirikisha hata Wasomali? Kweli Lowasa hapo umebugi,huna tofauti na Mchemba na sasa watu wamekuelewa.Mbona morani waliompiga hawajakamatwa! Kwani hawajulikani? Laigwenan Mkuu Lowassa anapoendelea na kampeni zake za ukuu nchini adhihirishie umma kuhusu utashi wake kwa utawala wa sheria kwa kusaidia kukamatwa hao morani wahalifu.
NassariNassari amepigwa na nani? au alikuwepo kwenye mlipuko?
Mbona sielewi?
thanx kaka. taarifa kama hizi zinazotia moyo na zenye ukweli ndio tunazozihitaji.Anaendelea vizuri.................... mleta mada kaongeza chumvi nyingi.
Asafirishwe kwenda India
Kamanda gani mzembe hivi
Hilo si jukumu la makamanda tena!! Yupo hospital, is it? Sasa what does makamanda has to do with the medical issues? Tumwombee apone,kisha apone haraka.
Nyie si mnasema yuko na hali mbaya, sasa kuna ubaya gani wa mimi kusema apelekwe India kufanyiwa uchunguzi. Au chama kina ogopa gharama?Ndo mnachokijua tu,ina maana nyie magamba mlimpiga ili asafirishwe kwenda India?shame on you mnaotenda matendo maovu na kuvaa miwani ya mbao kwasababu ya vijisenti kdogo, muogope Mungu wako na jua kuna kaburi, I dare say wewe ni mnyama usiyefaa kusimama kati ya wastaarabu, mtu akipigwa regardless of his political affiliation cyo ishu kuandika upuuzi huu, unless umevurugwa.
Maajabu asifanyiwe Mandela aje afanyiwe huyu legelege?Mungu atafanya maajabu na kamanda atapona.nassari tupo pamoja nawe usihofu.