asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Kapigwa na wafurukutwa wa CCM huko BABATI...
siyo babati ,ni kata ya makuyuni wilaya ya monduli
Kapigwa na wafurukutwa wa CCM huko BABATI...
ha ha ha, jamaa kibatari kweli... umenifurahisha.Wewe hodari umefanya nini cha maana?zaidi ya kula,kunya,na kulala,familia yako mwenyewe ikipiga kura ya kumchagua kiongozi wa familia yule mtoto wako wa miaka tisa anashinda kwa kura nyingi, koroboi wewe.
siyo babati ,ni kata ya makuyuni wilaya ya monduli
Mbona morani waliompiga hawajakamatwa! Kwani hawajulikani? Laigwenan Mkuu Lowassa anapoendelea na kampeni zake za ukuu nchini adhihirishie umma kuhusu utashi wake kwa utawala wa sheria kwa kusaidia kukamatwa hao morani wahalifu.khali ya kamanda Nasari nasikia si nzuri, nimepata taarifa amepelekwa ICU je ni kweli, wenye taarifa kamili watujuze jamani!!!!!!
Kamanda gani mzembe hivi
bila kujali itikadi za vyama, huu si wakati wa kumuita Nasari Mzembe hata kama alikuwa hivyo, ni wakati wa kumuombea apone na aendelee na kazi aliyotumwa kuwafanyia wananchi. Tumia busara zaid next time. Fikiri kable ya kuandika; je kama ingekuwa ni wewe, ungependa maneno hayo yatamkwe juu yako?Kamanda gani mzembe hivi
amejeruhiwa jana na makada wa chama cha mauaji (ccm) huko makuyuni alipokuwa kama wakala kwenye uchaguzi. Nasikia walikuwa wanataka kumuua kabisa.
Thanks mkuu, nilisahau kuandika yupo matibabu BABATI
Nasikia mpambanaji alilia kama mtoto, chezea morani wewe.
umefurahia alivyoumizwa?
Sasa yeye si kamanda, mpambanaji ulitegemea anapambana na upepo? Ni sawa sawa tu kwa wapambanaji wakati mwingine kuumizwa anatakiwa tu kuinuka na kuendelea kupambana sio kulialia.