Nataka kuoa mrembo wa KIMERU

Status
Not open for further replies.
Wameru malaya coz me kuna shemeji yangu alianza kunishobokea hatimaye akanipa tunda,me bila hiyana nikamnawa ili niweke heshima..niliipiga haswa mpaka akiniona anatamani aniamkie...Ha ha ha ha,chezea mjalabati wewe

Mentally unsound!
 
Kukee nrwaa wa kwii mbee?? kwammuiya kiisha kutuuu.
Ni sawa kuoa MMERU, mm ni mmeru na angallia jina langu hapo halafu uwakumbuke wakurdi wa kule Iraq ambao ndio walisababisha Sadam Kunyongwa. Ishu ni kuwa kwanza wanawake wa kimeru ni Wakali, kwa hilo jiandae, pili hawataki longolongo katika maisha ni kama wachaga tu uhakikishe unatulia na kutafuta hela. Hawana uswahili. na kama ni ishu ya ni namna gani uende kwao

Tafuta mtu yoyote ambae atakuakilisha kama mshenga
Then mtaenda na kujitambulisha endapo ni siku ya kwanza/ japo siku hiyohiyo mnaweza kueleza nia yenu yaani kuoa- hapo kama una hakika mtazungumizia juu ya kuoa utapeleka KIRERENGO- Hii ni pombe kama debe 12 kwa ajili ya kueleza nia yako, kama ni walokole huwa ni soda creti kadhaa, hapo ishu ya menu upande wa mke wanaandaa.
Then mtapatana mahari kikawaida ni ngombe anayitwa SIIKYI huyu ni ngombe jike ambae hajazaa ila anakaribia kubeba mimba na huwa wanaequate kwa fedha ambapo mwaka 1996 alikuwa 60,000 so sasa hivi ni kama laki 2.Ukishatoa hiyo andaa harusi yako na kama ukafanya harusi ndugu yangu utaaga umasikini -wanajua kuzawadia hao ogopa

ila
kama unataka kuoa kienyeji chukua mzigo weka ndani then kesho yake tuma mtu akaseme fulani yuko kwako wasimtafute na mtu huyo huyo anaweza kuongea kwa kuyamaliza na wazee bila complication yyt, njia hii hutumiwa sana siku hizi na kwa wazazi wengine anakuambia sitaki mahari yako ila mkaishi vizuri. Ila sasa wameru wanapenda sana shehere za harusi

karibu unywe Loshoro bhana
 
Karibu Meru mkuu, moja muhimu uwe ni mtu unajayejua kufanya kazi; zamani kijana kabla hajapewa binti ilibidi afanye kwanza kazi za kulima ukweni kwa muda usiopungua mwaka mmoja. Perfomance yako shambani ndo ilikuwa kipimo kama upewe binti au la! Mahari sio ishu sana ilia kuaminika ni muhimu zaidi; dada zetu wapole na wazuri wa kulea familia kwani ni wachapakazi wazuri pia. Epuka kuwa sharobaro au kijana wa kinengereko watakufukuza! Kila la kheri, uje unywe kisusi, loshoro na kitalolo.
 
Ukimaliza kuoa anza na kutayarisha jeneza maana ipo siku migomba itaisha wakukate mbaya na ole wako uende na gari kwao halafu upaki pale tengeru imekula kwako....kuwa makini na vyakula unavyokula maana huchelewi kula unga wa kinyonga...hizo ni tahadhari tu na ambazo ziliishawapata watu walioenda kuwowa huko
 
ishu ya kukeketwa vip_maana watu wengine wanataka undistructred organ ili wapate quality utility.toeni info za kutosha asije mtu anafika ndani,anakuta zile feature ambazo amesoma ktk bailoji baadhi zinamiss.
 
Ni sawa kuoa MMERU, mm ni mmeru na angallia jina langu hapo halafu uwakumbuke wakurdi wa kule Iraq ambao ndio walisababisha Sadam Kunyongwa. Ishu ni kuwa kwanza wanawake wa kimeru ni Wakali, kwa hilo jiandae, pili hawataki longolongo katika maisha ni kama wachaga tu uhakikishe unatulia na kutafuta hela. Hawana uswahili. na kama ni ishu ya ni namna gani uende kwao

Tafuta mtu yoyote ambae atakuakilisha kama mshenga
Then mtaenda na kujitambulisha endapo ni siku ya kwanza/ japo siku hiyohiyo mnaweza kueleza nia yenu yaani kuoa- hapo kama una hakika mtazungumizia juu ya kuoa utapeleka KIRERENGO- Hii ni pombe kama debe 12 kwa ajili ya kueleza nia yako, kama ni walokole huwa ni soda creti kadhaa, hapo ishu ya menu upande wa mke wanaandaa.
Then mtapatana mahari kikawaida ni ngombe anayitwa SIIKYI huyu ni ngombe jike ambae hajazaa ila anakaribia kubeba mimba na huwa wanaequate kwa fedha ambapo mwaka 1996 alikuwa 60,000 so sasa hivi ni kama laki 2.Ukishatoa hiyo andaa harusi yako na kama ukafanya harusi ndugu yangu utaaga umasikini -wanajua kuzawadia hao ogopa

ila
kama unataka kuoa kienyeji chukua mzigo weka ndani then kesho yake tuma mtu akaseme fulani yuko kwako wasimtafute na mtu huyo huyo anaweza kuongea kwa kuyamaliza na wazee bila complication yyt, njia hii hutumiwa sana siku hizi na kwa wazazi wengine anakuambia sitaki mahari yako ila mkaishi vizuri. Ila sasa wameru wanapenda sana shehere za harusi

karibu unywe Loshoro bhana

paa kya deede kommaa deny wawa!kwiifoare lo mbee!
 
mimi nimeolewa na mmeru, wameru wanahasira sana, na msimamo pia. kwa upande wa wanawake ni wajeuri sana

mmeru na mmachame ni baba mmoja mama mmoja. hivyo msishangae ni kawaida yao.hata lugha ni.moja ina slight diffrnce.
 
Wadau nina mpenzi wangu mmeru nataka nimuoe, mwenye idea na requirements za kabila hili anijuze.

japo wanatofautiana kidogo kutoka ukoo mmoja hadi mwingine mfano,ukoo wa akyoo kuna tofauti na ukoo wa palanjo,lakin kwa ufupi unatanguliza wazee na kret 2 za soda,then utaenda na wewe kujitambulisha na kreti nne,hapo watakuambia na vingine wanavyohitaji,lakini mwisho wa siku utapeleka kreti 22 za soda,ng'ombe wawili na kondoo wawili,bahati itakuwa yako kama wakikubali ulipe inter of money itasaidia kidogo
 
Wadau nina mpenzi wangu mmeru nataka nimuoe, mwenye idea na requirements za kabila hili anijuze.

japo wanatofautiana kidogo kutoka ukoo mmoja hadi mwingine mfano,ukoo wa akyoo kuna tofauti na ukoo wa palanjo,lakin kwa ufupi unatanguliza wazee na kret 2 za soda,then utaenda na wewe kujitambulisha na kreti nne,hapo watakuambia na vingine wanavyohitaji,lakini mwisho wa siku utapeleka kreti 22 za soda,ng'ombe wawili na kondoo wawili,bahati itakuwa yako kama wakikubali ulipe inter of money itasaidia kidogo
 
ndo hivyo na hizo hazipungui hata moja,wanadai za kukutambulisha kwa ukoo kwa hiyo pia unatakiwa pia wewe ndo ukawapikie ukoo huko meru,kaz kwelkwel
 
Ni sawa kuoa MMERU, mm ni mmeru na angallia jina langu hapo halafu uwakumbuke wakurdi wa kule Iraq ambao ndio walisababisha Sadam Kunyongwa. Ishu ni kuwa kwanza wanawake wa kimeru ni Wakali, kwa hilo jiandae, pili hawataki longolongo katika maisha ni kama wachaga tu uhakikishe unatulia na kutafuta hela. Hawana uswahili. na kama ni ishu ya ni namna gani uende kwao

Tafuta mtu yoyote ambae atakuakilisha kama mshenga
Then mtaenda na kujitambulisha endapo ni siku ya kwanza/ japo siku hiyohiyo mnaweza kueleza nia yenu yaani kuoa- hapo kama una hakika mtazungumizia juu ya kuoa utapeleka KIRERENGO- Hii ni pombe kama debe 12 kwa ajili ya kueleza nia yako, kama ni walokole huwa ni soda creti kadhaa, hapo ishu ya menu upande wa mke wanaandaa.
Then mtapatana mahari kikawaida ni ngombe anayitwa SIIKYI huyu ni ngombe jike ambae hajazaa ila anakaribia kubeba mimba na huwa wanaequate kwa fedha ambapo mwaka 1996 alikuwa 60,000 so sasa hivi ni kama laki 2.Ukishatoa hiyo andaa harusi yako na kama ukafanya harusi ndugu yangu utaaga umasikini -wanajua kuzawadia hao ogopa

ila
kama unataka kuoa kienyeji chukua mzigo weka ndani then kesho yake tuma mtu akaseme fulani yuko kwako wasimtafute na mtu huyo huyo anaweza kuongea kwa kuyamaliza na wazee bila complication yyt, njia hii hutumiwa sana siku hizi na kwa wazazi wengine anakuambia sitaki mahari yako ila mkaishi vizuri. Ila sasa wameru wanapenda sana shehere za harusi

karibu unywe Loshoro bhana
aisee kwansikurumbusa kwaasha denyi...mpaka siikyi...eka mbeee
 
tafuta mshenga tu akapeleleze wakwe zako wanahitaji nini,cku hizi mambo yanabadilika sn, vitu vya kikabila sio ishu sn!!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom