Recent content by shinyanga town

  1. S

    Bombardier na Boeing zimepaki Wakati Simba SC Wakitumia Kenya Airways na Ethiopia Airways kwenda Nigeria

    Eti kenya airways mpaka Nairobi? Mavi matupu tafuta taarifa sahihi wew
  2. S

    Kuitwa kwenye usahili TANESCO.

    Mkuu subira yavuta heri, najua una kimuhemuhe just wait muda ukifika zitakua wazi
  3. S

    MPYA: TANESCO watangaza nafasi 569 za kazi kupitia PSRS

    Job location wakisema hydro power plant ndo mambo ya wami, mtera, nyumba ya mungu au wana maanisha nini ndugu zangu? Msaada
  4. S

    Kuitwa kwenye uptitude test TPb benk

    Tpb wasenge sanaaa wana urasimu kuliko hata bot
  5. S

    Mchakato wa AJIRA za TANESCO kupitia PSRS

    Saaaaaaaaaaaafiiiii sanaaaaaaaaaaaaaaa
  6. S

    Nimeitwa kwenye usahili wa BRELA. Je, ni masuala gani natakiwa nipitie?

    Broo kuhusu usahihishaji wa utumishi wanajitahidi sanaaaaaa (98%) wanafanya vizur kwenye usahihishaji, issue ni huyo mwanao unaemchukulia kama benchmark inawezekana pepa ilikua ya kawaida yeye akapaka rangi sanaaa wakat anatakiwa kusafisha na kuosha
  7. S

    Kuitwa kwenye usahili katika BRELA, ARU, TICD & MSC

    Kuhusu ream baba unomba unapewa, kama niile ya kujisavia hata wakisema moja moja chukua 3, kuhusu muda na maswali elezea maximum mistari 2, ni dhambi kuacha swali katika pepa za utumishi,muda haujawahi kutosha katika mtihani wowote pale, make sure unakua na speed, briefly na accuracy bhaaaaaas
  8. S

    Kuitwa kwenye usahili katika BRELA, ARU, TICD & MSC

    Wazee vp paper huko duce? Research ilihusika?
  9. S

    Nimeitwa kwenye usahili wa BRELA. Je, ni masuala gani natakiwa nipitie?

    Samahani,hii salary scale ya brs 6.1 ni sawa na tsh ngap?
  10. S

    Msaada katika Usaili wa Security Officer TAA

    Ndugu zang kwenye dondoo nilizotoa kuhusu security hamjakuta au kufananisha hata moja
Back
Top Bottom