Broo kuhusu usahihishaji wa utumishi wanajitahidi sanaaaaaa (98%) wanafanya vizur kwenye usahihishaji, issue ni huyo mwanao unaemchukulia kama benchmark inawezekana pepa ilikua ya kawaida yeye akapaka rangi sanaaa wakat anatakiwa kusafisha na kuosha
Kuhusu ream baba unomba unapewa, kama niile ya kujisavia hata wakisema moja moja chukua 3, kuhusu muda na maswali elezea maximum mistari 2, ni dhambi kuacha swali katika pepa za utumishi,muda haujawahi kutosha katika mtihani wowote pale, make sure unakua na speed, briefly na accuracy bhaaaaaas
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.