Kamanda KAZI, Nifahamishe nifanye nini!
Nasumbuliwa na maumivu kuanzia chini ya mgongo kupitia ndani ya matako kutelemkia mapajani kwa nyuma hadi miguuni kwenye nyayo na kupata ganzi wakati mwingine Kama moto.
Nini Tiba yake?
Wana JF Doctor,
Naomba msaada wenu, napata maumivu sana.
1. Usiku wakati wa kutaka kulala nyonga yangu huniuma sana mpaka nitulie kwa kulala chali.
2. Asubuhi nikitaka kuamuka napata maumivu makali kama ya misuli sehemu ya katikati ya matako kuja kwenye mapaja kwa nyuma, hali hiyo hunichukua...
Wadau na wanajamii, heri ya mwaka mpya
Jamani kama kuna mwanajamvi anajua kuhusu Decorder hii naomba msaada:
1. Namna ya kufanya dish installation
2. Namna ya ku update
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana,
Mimi swali langu ni hili.
Nimeenda kijijini kutafuta mke wa kuoa, nimemkuta mwanamke akiwa anaishi kwao bila mme, niliulizia nikaambiwa wameachana na mme wake miaka mitano iliyopita.
Nilichumbia kwao nikaoa kwa kutoa mahali.
Je! Mume wake wa awali anaweza kuja kushika ugoni kwa...
Pole sana. Huo ni mlango wa Sita wa ufahamu (sixth sense), nakushauri tafuta kitabu kimoja cha psychology kinaitwa MAGIC POWER OF YOUR MIND. Utapata majibu yote humo. Au ingia kwenye Internet.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.