SHINYAKA
Member
- Oct 6, 2010
- 74
- 39
Wana JF Doctor,
Naomba msaada wenu, napata maumivu sana.
1. Usiku wakati wa kutaka kulala nyonga yangu huniuma sana mpaka nitulie kwa kulala chali.
2. Asubuhi nikitaka kuamuka napata maumivu makali kama ya misuli sehemu ya katikati ya matako kuja kwenye mapaja kwa nyuma, hali hiyo hunichukua kama nusu saa, baadae naendelea na vizuri kama kawaida.
Naomba musaada wenu.
Naomba msaada wenu, napata maumivu sana.
1. Usiku wakati wa kutaka kulala nyonga yangu huniuma sana mpaka nitulie kwa kulala chali.
2. Asubuhi nikitaka kuamuka napata maumivu makali kama ya misuli sehemu ya katikati ya matako kuja kwenye mapaja kwa nyuma, hali hiyo hunichukua kama nusu saa, baadae naendelea na vizuri kama kawaida.
Naomba musaada wenu.