Recent content by shinobi

  1. shinobi

    JamiiForums Tanzania Maisha ya chuo na baada ya kumaliza chuo

    asee jamaa hako kapicha ka mbu nimekaa nahangaika kufukuza dah Sent using Jamii Forums mobile app
  2. shinobi

    JamiiForums Tanzania Watu wa ziro na akili zao ziro, wanawake msishadadie ziro

    na mtu akifa yu enda fufuliwa na kaum ya lut(loot) allahuma nusurina. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. shinobi

    JamiiForums Tanzania Mtazamo: Kubet kunapunguza uwezo wa kuridhishana kitandani

    na kama na kukesha tena hiyo saikoloj ndio inavurugika kabisaaaaa.mana hilo tendo lenyewr ukiwa umevuruga maratibb nauum.yan taratibu za kupata usingiz ujue utachemka .mana sa hiv watu wanabet hadi mbio za mbwa huwez amin jombaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. shinobi

    JamiiForums Tanzania Hivi wanawake wanamaanisha nini wanaposema wanataka mwanaume mwenye hofu ya Mungu?

    ukitaka wa hofu na mungu na wewe uwe hivo hivo.birds of the same feathers............. !!!!! naaam hata wahenga wa kizungu wanalijua hili Sent using Jamii Forums mobile app
  5. shinobi

    JamiiForums Tanzania Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    kwan kakwambia amepata.anataka ushauri je akimpata mjane afanyeje?? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. shinobi

    JamiiForums Tanzania Funzo kwa wote tunaopuuza wanaume wanaotupenda

    bakerbalaaa mdogo wangu. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. shinobi

    JamiiForums Tanzania Ni ngumu mwanamke kukataa mwanaume mwenye uwezo mzuri kiuchumi

    na bora umebold mapema Sent using Jamii Forums mobile app
  8. shinobi

    JamiiForums Tanzania Hivi mliooana huwa mnafanyaje kwenye hili jambo?

    sio vizuri kiafya unapojiskia haja kubwa au wazungu wanasema long call ni pale pale una itii.au kama upo vizuri na umekunywa glasi zako tatu za maji ya vuguvugu aubya moto kidogo ile alfajir umetia na asali utapata choo in less than a minute umeshusha mzigo wa maana.zingatia kula fibres food tu...
  9. shinobi

    JamiiForums Tanzania Hivi mliooana huwa mnafanyaje kwenye hili jambo?

    kwan ukienda kuoga si ndio unamaliza kila kitu huko sasa si utajulikana umeenda kuoga bora unge kuwa unatilia maanani kuwepo na air freshner mana ukitoka wewe mwenywe husikii harufu ila anayeingia sasa atatamani afe Sent using Jamii Forums mobile app
  10. shinobi

    JamiiForums Tanzania Samahani wakuu

    Na kweli.mihemko ya kitoto
  11. shinobi

    JamiiForums Tanzania Watu wa Tanga ni noma

    I agree Sent using Jamii Forums mobile app
  12. shinobi

    JamiiForums Tanzania Mwanaume ukitumia aina hii ya chai hutodanganywa kamwe na matapeli wa kutibu nguvu za kiume

    Unga wa swaum (garlic) asee itakua ina chefua hivo vitunguu saum watu huwa wanameza vipunje.any way kwa hivo viungo vungine sio mbaya inakua nzuri. Na pia uongezee watu waache kuangalia pornography Sent using Jamii Forums mobile app
  13. shinobi

    JamiiForums Tanzania My principle: huwa silali kwa watu, wala kula chakula kwa watu

    Unafiki siku hizi imekua jambo la kawaida kwa sababu watu wameacha mafundisho ya dini alama za mwisho wa dunia ujinga utapochukua nafasi. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. shinobi

    JamiiForums Tanzania Kabla ya kuoa chunguza hivi viungo

    Asee mkubwa.mm nilidhani unatakiwa uwe unaangalia vitu kama tabia size ya mdomo aina na vitu mbalimbali Sent using Jamii Forums mobile app
  15. shinobi

    JamiiForums Tanzania Kabla ya kuoa chunguza hivi viungo

Back
Top Bottom