shinobi
Member
- Aug 17, 2017
- 15
- 8
sio vizuri kiafya unapojiskia haja kubwa au wazungu wanasema long call ni pale pale una itii.au kama upo vizuri na umekunywa glasi zako tatu za maji ya vuguvugu aubya moto kidogo ile alfajir umetia na asali utapata choo in less than a minute umeshusha mzigo wa maana.zingatia kula fibres food tu asubuh oats na ndiz punguza masoda sodaMm nasimamisha zoezi la kunya hadi ajiskie kwenda kununua voucher,
Naaangalia videos online kwa makusud ili bundle lake liishe akanunue voucher, mm huku nyuma nakunya,hahaaa
thA God thA bubbs!!
Sent using Jamii Forums mobile app