Mm huwa nakiona anachelewa kutoka huwa naenda seblen kuzuga .kwema jamani?
poleni kwa kukamatiwa ndege yetu huko canada ila ndo hivyo dawa ya deni ni kulipa tu,ubabe sio issue kivile kwenye kulipa madeni ya watu.
niende kwenye kilichonileta huku jf leo,nilikua nauliza hivi kwa wale mliooana na mnaishi nyumba self yenye master bed room, mkitaka kwenda kunya huwa mnatumia techniques gani ili mwenzio asijue kuwa umeenda kunya,maana binafsi huwa naona aibu sana hasa ninapoona mwenza wangu kaingia msalani halafu akawa anajamba humo msalani ingawa mwenzangu yeye ni kama mshipa wa aibu ulishakatika vile,yani anaona kawaida sana.
tusaidiane kwenye hili
Kama unamuonea aibu mpenzio basi ujue hamjaivana vyema kwenye mapenzi. Mi hata kujamba tu anajamba mbele yangu na wala siwazi alimradi tupo rum kwetu pamoja!kwema jamani?
poleni kwa kukamatiwa ndege yetu huko canada ila ndo hivyo dawa ya deni ni kulipa tu,ubabe sio issue kivile kwenye kulipa madeni ya watu.
niende kwenye kilichonileta huku jf leo,nilikua nauliza hivi kwa wale mliooana na mnaishi nyumba self yenye master bed room, mkitaka kwenda kunya huwa mnatumia techniques gani ili mwenzio asijue kuwa umeenda kunya,maana binafsi huwa naona aibu sana hasa ninapoona mwenza wangu kaingia msalani halafu akawa anajamba humo msalani ingawa mwenzangu yeye ni kama mshipa wa aibu ulishakatika vile,yani anaona kawaida sana.
tusaidiane kwenye hili
Hahahahahah itakuwa nuclear bomb kama za fukushimaHizi sayansi mwitu zenu msiwe mnazileta JF...
Kwani watu wanakunya radioactive hadi mavi yawe sumu...
Mr Ebo alikataa kulala chumba kimoja na choo,,,,
Ndo maana kuna wimbi la magonjwa sku hizi,, kwani mavi n sumu kali saana na inasafr mpka mita 30 ..sasa pale unapo lala karbu na choo ile sumu inakuathili saana ww mpaka chakula unachotumia maana kinakua karbu na choo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan we ni me au ke? Tuanzie hapo kwanza!kwema jamani?
poleni kwa kukamatiwa ndege yetu huko canada ila ndo hivyo dawa ya deni ni kulipa tu,ubabe sio issue kivile kwenye kulipa madeni ya watu.
niende kwenye kilichonileta huku jf leo,nilikua nauliza hivi kwa wale mliooana na mnaishi nyumba self yenye master bed room, mkitaka kwenda kunya huwa mnatumia techniques gani ili mwenzio asijue kuwa umeenda kunya,maana binafsi huwa naona aibu sana hasa ninapoona mwenza wangu kaingia msalani halafu akawa anajamba humo msalani ingawa mwenzangu yeye ni kama mshipa wa aibu ulishakatika vile,yani anaona kawaida sana.
tusaidiane kwenye hili
Hilo ndo zuri maana nyie wakike huwa mnajikutaga km hamnyi wala kujambaKhakhaakhaaaaa mnanivunja mbavu zangu miyeeee.
Ila ungesema haja kubwa jamaniii hilo neno Li kavu mnoo
Mahondaw wa Smart911
Inaonesha bado hujazoeana na mpenzi/mke wako, hamna muda mrefu tangu muanze mahusiano yenu. Mbona jambo la kawaida hilo.kwema jamani?
poleni kwa kukamatiwa ndege yetu huko canada ila ndo hivyo dawa ya deni ni kulipa tu,ubabe sio issue kivile kwenye kulipa madeni ya watu.
niende kwenye kilichonileta huku jf leo,nilikua nauliza hivi kwa wale mliooana na mnaishi nyumba self yenye master bed room, mkitaka kwenda kunya huwa mnatumia techniques gani ili mwenzio asijue kuwa umeenda kunya,maana binafsi huwa naona aibu sana hasa ninapoona mwenza wangu kaingia msalani halafu akawa anajamba humo msalani ingawa mwenzangu yeye ni kama mshipa wa aibu ulishakatika vile,yani anaona kawaida sana.
tusaidiane kwenye hili