Mimi si nabii wala mtabiri lakini huwa naota ndoto ambazo sizielewi. Naomba wataalamu wa tafsiri wanisaidie.
Nimeona katika ndoto ndugu Stephen Masele na mtu mwingine ambaye simkumbuki vizuri wakijinadi mbele ya wabunge ili wachaguliwe kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania...
Amani iwe nanyi!
Ajira zote za serikali husimamiwa na Sekretarieti ya Ajira, ambapo baada ya mchakato kukamilika, majina ya waliopangiwa vituo hutolewa katika tovuti ili kila mmoja kuona.
Hii imekuwa tofauti kwa TRA, ambao walianza vizuri kwa kutoa majina ya walioitwa kwenye usaili. Cha ajabu...
Hapana amekosea kwa asilimia 75%
Timu zitakazoingia nusu fainali ni:
Young Africans
Simba
ASEC Mimosas
Petroleos de Luanda
HII NI UHAKIKA. NI UNABII.
NB: Kiuhalisia sasa, nasubiri kuona hizo timu zote zitapenyaje?
Shule za msingi zilizopokea huo msaada kwa ajili ya lishe zimeambiwa chakula kilichokwisha kuletwa kiliwe kisha baada ya hapo hawatapokea tena. Swali ni je, kama kina madhara kwa nini shehena isiteketezwe badala ya kuruhusu iliyopo iliwe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.