Recent content by Shindu Namwaka

  1. Shindu Namwaka

    JamiiForums Tanzania Kampuni ipi Bora ya solar panell Watt250?

    Sunda nawakubali sana
  2. Shindu Namwaka

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 ‘Watanzania wanyonge’ wataka Paul Makonda agombee na kupewa Urais 2030

    Yani maelezo yote haya nani asome? [emoji1787][emoji1787]
  3. Shindu Namwaka

    JamiiForums Tanzania Kumlipa Fei Toto mshahara wa mhindi ni udhalilishaji mkubwa sana, mwacheni aende zake Azam

    Hata kama ingekuwa analipwa shilling Elfu 3000 si alikubali? au huo mkataba alilazimishwa kusaini?
  4. Shindu Namwaka

    JamiiForums Tanzania Kumlipa Fei Toto mshahara wa mhindi ni udhalilishaji mkubwa sana, mwacheni aende zake Azam

    Hiyo million 4 ndiyo makubaliano yao ambayo alisaini Yanga mwaka 2020 kwa wakati huo hiyo pesa ilikuwa inamlipa,usichokijua kwa uongozi wa Yanga tayari ilianza mazungumzo na wanaomsimamia Feisal ila ghafla yametokeo hayo sema haya mambo tunajadili kishabiki hakuna asiyejua kazi na uwezo wa Feisal
  5. Shindu Namwaka

    JamiiForums Tanzania Wakulima wagomea bei ya Korosho

    Duh we acha tu ndugu
  6. Shindu Namwaka

    JamiiForums Tanzania Mwambieni Lissu tulilipwa bilioni 700 badala ya kushitakiwa MIGA

    Ni wasio na akili tu ndiyo wataamini maigizo
  7. Shindu Namwaka

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa kocha wa Yanga na uongozi wa Yanga

    YANGA BINGWA
  8. Shindu Namwaka

    JamiiForums Tanzania Chunyu Ruangwa, Lindi: Msaada wa pembejeo za korosho unapewa chupa moja na nusu

    Mwaka jana tulikatwa sijui mwaka huu itakuwaje
  9. Shindu Namwaka

    JamiiForums Tanzania Chunyu Ruangwa, Lindi: Msaada wa pembejeo za korosho unapewa chupa moja na nusu

    Mwaka jana makato ya pembejeo nilikatwa zaidi ya Shilling 50 elfu mbaya zaidi hata pembejeo yenyewe sikuchukua inauma sana.
  10. Shindu Namwaka

    JamiiForums Tanzania Chunyu Ruangwa, Lindi: Msaada wa pembejeo za korosho unapewa chupa moja na nusu

    Mbaya zaidi msimu wa korosho kunakuwa na makato ya pembejeo ambayo unakatwa.
  11. Shindu Namwaka

    JamiiForums Tanzania Chunyu Ruangwa, Lindi: Msaada wa pembejeo za korosho unapewa chupa moja na nusu

    Sina maneno mengi Swali langu kwa Mheshimiwa waziri wa kilimo mimi nina mikorosho zaidi ya 40 wengine wana mikorosho zaidi ya 100 lakini unapewa chupa moja ya salfa ya maji na chupa moja ya wadudu mnagawana nusu kwa nusu watu wawili. Kama lengo kumsaidia mkulima chupa moja na nusu itamsaidia kweli?
  12. Shindu Namwaka

    JamiiForums Tanzania Baada ya kiwanda kuwaka moto GSM wasema “Tumepata hasara kubwa sana, hakuna kilichosalia"

    Bima watatumia lini hela zao? hapo ndipo inapokuja faida ya Bima kubwa.
  13. Shindu Namwaka

    JamiiForums Tanzania Wakulima wa Newala wagomea bei ya korosho

    Iligomewa shilingi 2700 enzi ya Magu mwaka 2018 leo 2021 bei shilingi 2280 duh noma sana hii nchi hii
  14. Shindu Namwaka

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yasema polisi bado wanachunguza kupotea kwa Mwandishi wa habari Azory Gwanda

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duh
Back
Top Bottom