Hawa CCM unatakiwa kwenda nao mdogo mdogo kama vile unatongoza demu, unajifanya unamtania mwisho akielekea kibla unakula kweli....twende nao mdogo mdogo tutawakula
Hakuna aliye salama, ni suala la muda tu. Hii nchi haina kiongozi hata mmoja mwenye AKILI akatoka nje akakemea huu ujinga? Yaani serikali nzima ya CCM ni wapumbavu kiasi hiki? Mnawezaje kucheza na UGAIDI?
Dadeeeki ilikua 2008 nikiwa Makambako, ndio nimeanza kazi, nilikula Ndizi Nyama za nazi, na nyama yenyewe ilikua Kitimoto. From that day, sijawahi kuacha kula Kitimoto hata iweje
"NJOENI KUTAMBUA MAITI KUMBE NI MKUTANO WA CCM"
Viongozi wa serikali kupitia chama cha mapinduzi CCM Mbeya wametumia mbinu ya kusema kuna maiti zipo watu waje kuzitambua maiti hizo kumbe hakuna maiti wanataka watu waende mkutanoni hii Ina maana gani?
Hii ni mbinu ya kuwakusanya watu wanaojiandaa...
"NJOENI KUTAMBUA MAITI KUMBE NI MKUTANO WA CCM"
Viongozi wa serikali kupitia chama cha mapinduzi CCM Mbeya wametumia mbinu ya kusema kuna maiti zipo watu waje kuzitambua maiti hizo kumbe hakuna maiti wanataka watu waende mkutanoni hii Ina maana gani?
Hii ni mbinu ya kuwakusanya watu wanaojiandaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.