Recent content by Shift

  1. S

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Usipowapa rushwa , watatumia sheria zetu hizi za kipumbavu kukunyorosha. Kuna Dada mmoja pale TRA mwenge ambao sasa wamehamia pale mbele, aliwahi kunipa mzigo(deni) la milioni 270......tukakaa mezani, sikubishana nae ila tukaongea tukayajenga yakajengeka pande zote mbili.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Deogratius Nalimi Kisandu officially changed his name to CIVILIAN - COIN NALIMI KISANDU in the Tanzania Government Gazette published on August28, 2026

    Pamoja na hayo yote bado hajawahi kuwa CCM, sasa hebu jiulize wewe mzima na uko CCM
  3. S

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Jovita adaiwa kumuua mumewe kisa kanyimwa unyumba

    Nyege mshindo
  4. S

    JamiiForums Tanzania Nini Jaji Warioba Kaongea Leo! Chini ni Muhtasari wa Alichokisema

    At least Mungu katuachia huyu Mzee
  5. S

    JamiiForums Tanzania Maria Surungi: Deo Ndejembi ni Mzanzibari, Muislamu, pia ana uraia wa Uingereza

    Mambo ya Yesu na Yuda Iskariote
  6. S

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmannuel Nchimbi afukuzwa uanachama wa CCM

    Samia na CCM walimteua Mgombea Urais mwenza asiye na maadili baada ya kuitumikia CCM kwa miaka zaidi ya ishirini au 30 na bado mnataka CCM WAAMINIKE
  7. S

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmannuel Nchimbi afukuzwa uanachama wa CCM

    Ccm walituchagulia MAKAMU WA RAIS ASIYEKUA NA MAADILI......
  8. S

    JamiiForums Tanzania Jambo zito kisiasa lakaribia litatikisa, ni ama ajiamulie mwenyewe au wenyewe waamue

    Lissu anaendelea kuivua nguo serikali dhalimu ya CCM
  9. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuandamwa na mikosi ya kisiasa na kiuchumi isiyokoma ni ishara ya wazi kua huenda kuna laana ndani ya chama hicho cha siasa nchini

    Ni mpumbavu tu au mtu aliyeamua kwa makusudi kujitoa ufahamu na kuandika utumbo kama huu.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Uwanja wa JNIA mbioni kubinafsishwa. Hoja kujadiliwa Bungeni kuanzia Kesho 24 Agosti

    Ukichunguza utagundua kuwa kwenye maujinga mengi ya Bunge fake la CCM, Kibajaj na Msukuma na Nape wametumika saana. Then kuna hao watoto wa waliowahi kuwa viongozi...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Msaada naomba kujua je, mashahidi walioitwa na Tundu Lissu akina Samia, Majaliwa, Mpango wanaenda kutoka ushahidi upi mahakamani?

    Waamue tu kumfunga Lissu ila ukweli hawamuwezi, yale maelezo yake ya awali yanaonyesha anataka kuwavua chupi serikali ya CCM. Na shida kwa CCM ni kwamba kila atakachoongea Lissu kinakua documented rasmi na inakua information itakayotumika kote kama reference 😄. Ukikimbia nchale ukisimama nchale
  12. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Uwanja wa JNIA mbioni kubinafsishwa. Hoja kujadiliwa Bungeni kuanzia Kesho 24 Agosti

    Na hii team imeundwa very strategic, wamechukuliwa wale waropokaji wote, wengine wamechukuliwa kama informers na wengine wamechukuliwa kama wahamasishaji.....we are fucked wallah
  13. S

    JamiiForums Tanzania Baada ya kupoteza thamani, ameamua kunitafuta

    Never become a bandage into someone's wound, cause bandages are removed after the healing is done......
  14. S

    JamiiForums Tanzania Kama Lengo ni Kumfunga Kisha Msamaha, eti apoteze Haki zake za Kisiasa, futeni kabisa huo ujinga nyie Vilaza wa CCM !! Dunia haitokubali Kamwe

    CCM wanaupenda sana Ugaidi, kwakua wao wenyewe ni magaidi wakaishirikiana na State apparatuses ......
Back
Top Bottom