Walileta housegirl nyumbani, wakati huo Kaka zangu wote wanasoma Boarding na vyuoni na mimi nasoma Day, kwahio hakukua na competition kabisa. Nilikua nakula hadi nasaza
Kama mnaenda kufanya uchunguzi wa madai haya, hakikisha hawaendi watumishi wa idara yoyote kutoka Pwani-Kibaha, waje wengine kabisaaaaa otherwise mtaambiwa ni uongo. Rushwa hupofusha macho.....
Je, Hivi Ndivyo Wafanyakazi Wanavyopaswa Kuishi?
Malalamiko Mazito Kuhusu Mazingira ya Kazi Katika Kiwanda cha Fortune Paper
Kuna haja mamlaka husika nchini Tanzania kuangalia kwa karibu mazingira ya kazi yanayoripotiwa na baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda cha Fortune Paper, ambapo madai mazito...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.