Usipowapa rushwa , watatumia sheria zetu hizi za kipumbavu kukunyorosha. Kuna Dada mmoja pale TRA mwenge ambao sasa wamehamia pale mbele, aliwahi kunipa mzigo(deni) la milioni 270......tukakaa mezani, sikubishana nae ila tukaongea tukayajenga yakajengeka pande zote mbili.
Ukichunguza utagundua kuwa kwenye maujinga mengi ya Bunge fake la CCM, Kibajaj na Msukuma na Nape wametumika saana. Then kuna hao watoto wa waliowahi kuwa viongozi...
Waamue tu kumfunga Lissu ila ukweli hawamuwezi, yale maelezo yake ya awali yanaonyesha anataka kuwavua chupi serikali ya CCM. Na shida kwa CCM ni kwamba kila atakachoongea Lissu kinakua documented rasmi na inakua information itakayotumika kote kama reference 😄. Ukikimbia nchale ukisimama nchale
Na hii team imeundwa very strategic, wamechukuliwa wale waropokaji wote, wengine wamechukuliwa kama informers na wengine wamechukuliwa kama wahamasishaji.....we are fucked wallah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.