Recent content by Shift

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa UVCCM Songwe: Viongozi wa Chadema Wanaeneza Chuki kwa Maslahi Binafsi

    Ule mdahalo wao itakuaje sasa??
  2. S

    JamiiForums Tanzania Wachina wadaiwa kuwapiga vibaya Watanzania

    Niliwahi kuandika kuhusu wachina kunyanyasa na kuwatesa Watanzania, nenda pale Avic Dodoma waliwahi kumdunda mtanzania na hakuna hatua ilichukuliwa au kule Songwe walimdunda operator vibaya sana
  3. S

    JamiiForums Tanzania Dar: Askari Polisi Alalamika Kulazimishwa Kustaafu, Afukuzwa Kwenye Nyumba Ya Polisi Aliyokuwa Akiishi

    CCM wakishakutumia wanakutupa kama used condoms, atajua yeye na mwajiri wake, kumbe hana hata kibanda?
  4. S

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Watu waliopotea ni doa kubwa kwa taifa hili, Polisi wana wajibu wa kuwatafuta

    CCM wakizeeka wanakua malaika
  5. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Azam FC 3-2 Yanga SC | Kombe la shirikisho CRDB Bank | CCM Kirumba | 21 Juni, 2026 | Azam FC watinga Fainali

    Afadhali aiseeee Yanga kapigwa
  6. S

    JamiiForums Tanzania Nawashangaa sana wale wanaosheherekea vikwazo! Si watu wema kwa taifa letu ni wa kupigwa mawe!

    Acha kupindisha mada, jibuni hoja
  7. S

    JamiiForums Tanzania Je, Tanzania Kuna Rushwa, Ufisadi, Wizi na Ubadhirifu?

    CCM ni majambazi
  8. S

    JamiiForums Tanzania Je, Tanzania Kuna Rushwa, Ufisadi, Wizi na Ubadhirifu?

    Ushawahi kusikia kuwa Tanzania ilipewa mkopo na IRAQ?? Maajabu haya https://vt.tiktok.com/ZSQcodb4E/
  9. S

    JamiiForums Tanzania Bado naamini ni uzushi, Stendi ya Magufuli haijauzwa kwa Wachina

    Lisemwalo lipo
  10. S

    JamiiForums Tanzania Please naombeni mnivumilie nioe kwanza huyu binti kutoka Zanzibar wakuu

    Utagongewa na si mayai
Back
Top Bottom