Recent content by Shift

  1. S

    JamiiForums Tanzania PHD Nchimbi anadai KATIBA Mpya, Vilaza akina Ridhiwani, Mwigulu, Abdul, wanasema Achaneni na KATIBA Mpya

    Hawa CCM unatakiwa kwenda nao mdogo mdogo kama vile unatongoza demu, unajifanya unamtania mwisho akielekea kibla unakula kweli....twende nao mdogo mdogo tutawakula
  2. S

    JamiiForums Tanzania PHD Nchimbi anadai KATIBA Mpya, Vilaza akina Ridhiwani, Mwigulu, Abdul, wanasema Achaneni na KATIBA Mpya

    Nchimbi ataongoza mapambano ya kupatikana kwa Katiba Mpya. Full stop
  3. S

    JamiiForums Tanzania Sakata la Mhadhiri wa Chuo Kikuu kupewa kesi ya ugaidi, Mgomo wa wafanyakazi UDOM wanukia

    Hakuna aliye salama, ni suala la muda tu. Hii nchi haina kiongozi hata mmoja mwenye AKILI akatoka nje akakemea huu ujinga? Yaani serikali nzima ya CCM ni wapumbavu kiasi hiki? Mnawezaje kucheza na UGAIDI?
  4. S

    JamiiForums Tanzania Nimfanyeje mke wangu aipende na kuifurahia harufu ya sigara isimkere, Ndoa bado Changa

    Mpe pesa tu hakuna shortcut
  5. S

    JamiiForums Tanzania Naomba mashairi ya wimbo wa akanana kaile Kona kaile nikeogora

    Duh
  6. S

    JamiiForums Tanzania Hata wao walishindwa kuzuia tabasamu lao!

    Hata Majaji wanafurahi Sana Lissu anavyotoa somo pale mahakamani
  7. S

    JamiiForums Tanzania Utamkumbuka Samia kwa lipi akitoka madarakani?

    October 29
  8. S

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kula mnyama ama wadudu gani Hadi ukajisemea nilikuwa wapi siku zote hizo? Nimekula wanyama wengi sana.

    Dadeeeki ilikua 2008 nikiwa Makambako, ndio nimeanza kazi, nilikula Ndizi Nyama za nazi, na nyama yenyewe ilikua Kitimoto. From that day, sijawahi kuacha kula Kitimoto hata iweje
  9. S

    JamiiForums Tanzania Kama hawa wote wanaomtuhumu Heche wamenunuliwa, CHADEMA hamna makada!

    This is typically non of your business, Heche ni wetu so just learn to mind your own business
  10. S

    JamiiForums Tanzania Heche: Siwezi kutishika kwa maneno ya kwenye Khanga, sina muda wa kujibizana

    "NJOENI KUTAMBUA MAITI KUMBE NI MKUTANO WA CCM" Viongozi wa serikali kupitia chama cha mapinduzi CCM Mbeya wametumia mbinu ya kusema kuna maiti zipo watu waje kuzitambua maiti hizo kumbe hakuna maiti wanataka watu waende mkutanoni hii Ina maana gani? Hii ni mbinu ya kuwakusanya watu wanaojiandaa...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Baba Levo ashinda kesi ya uchaguzi.

    "NJOENI KUTAMBUA MAITI KUMBE NI MKUTANO WA CCM" Viongozi wa serikali kupitia chama cha mapinduzi CCM Mbeya wametumia mbinu ya kusema kuna maiti zipo watu waje kuzitambua maiti hizo kumbe hakuna maiti wanataka watu waende mkutanoni hii Ina maana gani? Hii ni mbinu ya kuwakusanya watu wanaojiandaa...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Wasira: Serikali yetu ni halali kwa sababu imechaguliwa na wananchi

    Huyu mngemchukua mkamuweka makumbusho, vipi ile nyumba yake imeshajengwa?
  13. S

    JamiiForums Tanzania Urusi yaishambulia meli ya mizigo yenye bendera ya Tanzania. Ilikuwa inatoka Ukraine kwenda Uturuki

    Tanzania 🇹🇿 waje na UFAFANUZI
  14. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ingekuwa na wanachama laki 4 tu na wote wakachangia Tshs 1,000. Wangekuwa na Milioni 400

    Heri kuwa mjinga kuliko kuwa mfuasi wa CCM. Matako yako wewe
  15. S

    JamiiForums Tanzania Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam Walid Omar Kawambwa atenguliwa kwa kukiuka 'misingi' ya Uongozi

    https://www.facebook.com/share/r/1ERu5pev2z/
Back
Top Bottom