Acheni mambo yenu mna maslahi gani na simba yetu? mbona kamati ya uchaguzi inaupande wakati haitakiwi kufanya hivyo?!!! Inajidhalilisha sana,,,waache kipute kipigwe coz wanachama ndo wataamua rais wa simba na co kamati ya uchaguzi
Tulia wakati unareply mkuu,,,wewe kama humjui ni bora ukapita tu na kupiga kimya,,,usifikiri kwa kuwa ww humjui basi members wote wa jf hawamfahamu pia!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.