Nafasi pccb link hapa

Nafasi pccb link hapa

Wadau embu naomba msaada hapa....jina langu nimeliona,but si ktk category niliyoombea( ya LAW,ila kwenye Human resource management).Nimeulizia mtu wa utumishi kaniambia niibuke tu kwenye interview!....wadau hii siyo kwamba ni kufanana kwa majina au??..mchango wenu wadau?
 
da hawa pccb hawako fair kabisa nina master ya hr af degree ya forencis linguistics lakini nimeangukia pua.sasa sie masikini sijui twende wap? Na walisema postgraduate is an added adv..ila tutaona mwisho wao
 
Wadau embu naomba msaada hapa....jina langu nimeliona,but si ktk category niliyoombea( ya LAW,ila kwenye Human resource management).Nimeulizia mtu wa utumishi kaniambia niibuke tu kwenye interview!....wadau hii siyo kwamba ni kufanana kwa majina au??..mchango wenu wadau?

Duh, kwani upo nje ya dsm?
 
Kama hujachaguliwa usikate tamaa. " If you can't sing, don't pursue the idea of becoming an Opera star. Perhaps you could learn to dance.''
 
Wala msikate tamaa kila mtu ana siku yake. Sitasahau mimi nilipokuwa natafuta kazi, nikaitwa mahali nikaenda, ikafanyika interview, baada ya interview nikaelezwa kuwa ni mimi niliyepata nafasi hiyo, watanijulisha rasmi. Nikarudi nyumbani na matumaini makubwa baadaye kimya kama wiki mbili wakati walisema watanijulisha wiki hiyo hiyo, siku moja ghafla nilikutana na jamaa aliyekuwa kwenye panel akasema mmoja wa wenzengu alikuwa ni mtoto wa mjumbe wa bodi hivyo kapewa yeye, ingawa ukweli ni mimi niliyeshinda!. Frankly speaking niliumia sana hata hivyo nikaendelea kuomba sehemu nyingine na nilipata naweza sema mambo yanaenda vizuri tu.

Hivyo jipeni moyo endeleeni kuomba -pande zingine na kujikita katika ujasiria mali / kama kuna kazi ya kujitolea fanya mfano shule za kata hazina walimu kama ipo karibu na kwenu omba kufundisha utapata uzoefu fulani na pia kupata wasaha wa kuzungumza na watu wengine ambao waweza kukusaidia, pia kama waweza kujiajiri fanya hivyo tu.

Kila la kheri.

Well said.
 
niliambatanisha kila kitu ila sijaitwa ninachokifikiria huenda walifocus course fulani lakini hata hivyo walitakiwa kuwa wazi...
 
Wadau embu naomba msaada hapa....jina langu nimeliona,but si ktk category niliyoombea( ya LAW,ila kwenye Human resource management).Nimeulizia mtu wa utumishi kaniambia niibuke tu kwenye interview!....wadau hii siyo kwamba ni kufanana kwa majina au??..mchango wenu wadau?

Hata mimi nimeona jina langu ila hata category niliyopo siifahamu..ingawa niliomba upande wa computer science.
 
Hata mimi nimeona jina langu ila hata category niliyopo siifahamu..ingawa niliomba upande wa computer science.

Sasa muungwana ndo tunafanyaje hapa...hebu tupeane ushauri hapa.Maana unaweza sema labda ni kufafana kwa majina kumbe ndo ww unaatakiwa??!!
 
BOFYA HAPA UJIONEE MWENYEWE INVITATION FOR APTITUDE TEST

Namshukuru Baba yetu, Mungu Jehova mfalme anayeweza kuwanyanyua walio wanyonge kama mimi. Ni kweli bado safari ni ndefu sana na kuitwa katika usaili huu haina maana nimekwisha ipata nafasi hii, ila naamini Mungu huyu anayewanyeshea mvua wenye haki na wasio haki ataendelea kuwa mtetezi wangu.

Ahsante mfalme na nakuomba uniwezeshe katika mtihani huu mgumu wa 17/01/2014 ulio mbele yangu.
 
Namshukuru Baba yetu, Mungu Jehova mfalme anayeweza kuwanyanyua walio wanyonge kama mimi. Ni kweli bado safari ni ndefu sana na kuitwa katika usaili huu haina maana nimekwisha ipata nafasi hii, ila naamini Mungu huyu anayewanyeshea mvua wenye haki na wasio haki ataendelea kuwa mtetezi wangu.

Ahsante mfalme na nakuomba uniwezeshe katika mtihani huu mgumu wa 17/01/2014 ulio mbele yangu.

Amen,,,
 
Wasio itwa niwale hawakukidhi vigezo either hawakuambanisha vyeti vya la saba au hawaku certify vyeti au walisoma kozi ambazo hazikutajwa pale mf sociology,marketing n.k
 
Wala msikate tamaa kila mtu ana siku yake. Sitasahau mimi nilipokuwa natafuta kazi, nikaitwa mahali nikaenda, ikafanyika interview, baada ya interview nikaelezwa kuwa ni mimi niliyepata nafasi hiyo, watanijulisha rasmi. Nikarudi nyumbani na matumaini makubwa baadaye kimya kama wiki mbili wakati walisema watanijulisha wiki hiyo hiyo, siku moja ghafla nilikutana na jamaa aliyekuwa kwenye panel akasema mmoja wa wenzengu alikuwa ni mtoto wa mjumbe wa bodi hivyo kapewa yeye, ingawa ukweli ni mimi niliyeshinda!. Frankly speaking niliumia sana hata hivyo nikaendelea kuomba sehemu nyingine na nilipata naweza sema mambo yanaenda vizuri tu.

Hivyo jipeni moyo endeleeni kuomba -pande zingine na kujikita katika ujasiria mali / kama kuna kazi ya kujitolea fanya mfano shule za kata hazina walimu kama ipo karibu na kwenu omba kufundisha utapata uzoefu fulani na pia kupata wasaha wa kuzungumza na watu wengine ambao waweza kukusaidia, pia kama waweza kujiajiri fanya hivyo tu.

Kila la kheri.

#Nyati maneno yako nimesoma mpaka nimejisikia machozi yakinilenga.Ahsante kwa hekima zako kwani nami ni mhanga mkubwa sina kazi hapa nilipo maisha magumu nikikuambia nina siku ya nne sina kitu mfukoni hata sh.hamsini huwezi amini.Thats y nlipozisoma hekima zako nimekuwa sympathied
Mungu akubariki ni wachache wamepewa hekima hizo.
 
Wala msikate tamaa kila mtu ana siku yake. Sitasahau mimi nilipokuwa natafuta kazi, nikaitwa mahali nikaenda, ikafanyika interview, baada ya interview nikaelezwa kuwa ni mimi niliyepata nafasi hiyo, watanijulisha rasmi. Nikarudi nyumbani na matumaini makubwa baadaye kimya kama wiki mbili wakati walisema watanijulisha wiki hiyo hiyo, siku moja ghafla nilikutana na jamaa aliyekuwa kwenye panel akasema mmoja wa wenzengu alikuwa ni mtoto wa mjumbe wa bodi hivyo kapewa yeye, ingawa ukweli ni mimi niliyeshinda!. Frankly speaking niliumia sana hata hivyo nikaendelea kuomba sehemu nyingine na nilipata naweza sema mambo yanaenda vizuri tu.

Hivyo jipeni moyo endeleeni kuomba -pande zingine na kujikita katika ujasiria mali / kama kuna kazi ya kujitolea fanya mfano shule za kata hazina walimu kama ipo karibu na kwenu omba kufundisha utapata uzoefu fulani na pia kupata wasaha wa kuzungumza na watu wengine ambao waweza kukusaidia, pia kama waweza kujiajiri fanya hivyo tu.

Kila la kheri.

#Nyati maneno yako nimesoma mpaka nimejisikia machozi yakinilenga.Ahsante kwa hekima zako kwani nami ni mhanga mkubwa sina kazi hapa nilipo maisha magumu nikikuambia nina siku ya nne sina kitu mfukoni hata sh.hamsini huwezi amini.Thats y nlipozisoma hekima zako nimekuwa sympathied
Mungu akubariki ni wachache wamepewa hekima hizo.
 
issue ya kucertify vyeti mbona hawakuisema kwenye vigezo walizoweka?daah ndooo maana
 
Back
Top Bottom