Habari memberz! Jamani naomba kuuliza sababu gani inapelekea msichana kuwa na hasira wakati wa period?(kwa baadhi) mimi inanitokea sana,tena hasira inakuwa kwa watu wote na zaidi kwa mr.Husababishwa na nini?ASANTENI,G9T.
Habari zenu JF!naomba kuuliza jamani,mwenye ufahamu kuhusu application za diploma ktk fani za afya kupitia wizara ya afya zinatoka lini na je kama mtu atachaguliwa kusomea clinical officer(tabibu) atasoma kwa miaka mingapi?hapa namaanisha matokeo ya application zilizofanywa mwezi wa 4/5 mwaka...
Habari zenu JF!naomba kuuliza jamani,mwenye ufahamu kuhusu application za diploma ktk fani za afya kupitia wizara ya afya zinatoka lini na je kama mtu atachaguliwa kusomea clinical officer(tabibu) atasoma kwa miaka mingapi?NAWASILISHA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.