B bingu wa m Member Aug 10, 2011 20 7 Aug 11, 2011 #1 baba mwenye makengeza alipamiana na mtoto kisha akawa mkali,we mtoto hutizami unakoenda,mtoto akajibu ni wewe unakotizama huendi.
baba mwenye makengeza alipamiana na mtoto kisha akawa mkali,we mtoto hutizami unakoenda,mtoto akajibu ni wewe unakotizama huendi.
M mihiwe Member May 28, 2011 23 4 Aug 12, 2011 #2 Huyo dogo angekuwa waziri wa kikwete ingekuwa safi sana.
M Mbishi SR Member Jul 21, 2011 47 4 Aug 12, 2011 #3 Dogo aliona dingi kawasha indicator(taa zinamulika) anampa saiti, dingi kasababisha ajari!! Nimeipenda hii!
Dogo aliona dingi kawasha indicator(taa zinamulika) anampa saiti, dingi kasababisha ajari!! Nimeipenda hii!