kwanza ulikosea sana kumlazimisha akuoe, hilo ni kosa ambalo akina dada wengi wanakosea, lakini ndio kujifunza maisha pia! siku zote wanasema majuto ni mjukuu, pili huyo mtoto wako atakuwa amechukua roho ya baba ake (roho ngumu) kama ameshajitambua na kumjua babaake mwache aende akaishi nae, ila...