Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

Celine Dione, mwanamziki aliyetokea kuvuma na kupendwa sana ana wimbo wake ujulikanao kama "Love doesn't ask why ".

Msafisha kucha nimejikuta tu nimempa tunda na amelimega mara tatu tu lakini kishafunga goli. Nina mume wangu wa ndoa yenye miaka 4 na tuna mtoto wa miaka 3.

Kiukweli sina sababu ninayoweza kuitoa ikaeleweka kwamba kwanini nilimsaliti mume wangu. Sina sababu ya msingi. Msafisha kucha alini-win padogo tu. Kuna siku aliisifia bikini yangu aliyoiona wakati akiniweka vizuri miguu ili asafishe kucha za mguu wangu wa kulia. Macho yake yalituwama kwenye bikini yangu ya rangi nyekundu.

Aliniongelesha mambo mengi huku mikono yake ikiamsha hisia zangu za kimapenzi zilizojaa kwa wingi katika nyayo zangu. Kadri alipoendelea kusugua kucha zangu huku wayo wangu ukiwa kiganjani kwake niliendelea kulegea. Alipoomba uroda sikusita, maana sikujiuliza mara mbili. Nikampa siku ya kwanza, ya pili na ya tatu.

Baada ya kugundua mimba imeingia na siyo ya hubby wangu hofu imenijaa. Nimembambikizia mume wangu lakini nafsi yangu inanisuta. Na tangu nionjwe na huyo muosha kucha sifurahii mgegedo wa mume wangu kivile.

Nifanyeje nirejeshe furaha na mahaba yangu kwa mume wangu? Sitaki ijulikane kuwa mimba niliyo nayo ni ya msafisha kucha. Ni fedheha kwangu mimi, mume wangu na wazazi wangu.
Wewe ni dume usituzingue....
Kama vipi mpe na vuzi la rinda anyoe.

Sent from my D5303 using JamiiForums mobile app
 
Hawa jamaa ni hataree..

85237ac87d1cb667f7ee10ce70666929.jpg
 
Hongera sana ukijifungua salama dogo akikua hutapata tena shida ya kwenda kusafisha kucha mbali hope dogo atachukua fani ya baba yake
 
Celine Dione, mwanamziki aliyetokea kuvuma na kupendwa sana ana wimbo wake ujulikanao kama "Love doesn't ask why ".

Msafisha kucha nimejikuta tu nimempa tunda na amelimega mara tatu tu lakini kishafunga goli. Nina mume wangu wa ndoa yenye miaka 4 na tuna mtoto wa miaka 3.

Kiukweli sina sababu ninayoweza kuitoa ikaeleweka kwamba kwanini nilimsaliti mume wangu. Sina sababu ya msingi. Msafisha kucha alini-win padogo tu. Kuna siku aliisifia bikini yangu aliyoiona wakati akiniweka vizuri miguu ili asafishe kucha za mguu wangu wa kulia. Macho yake yalituwama kwenye bikini yangu ya rangi nyekundu.

Aliniongelesha mambo mengi huku mikono yake ikiamsha hisia zangu za kimapenzi zilizojaa kwa wingi katika nyayo zangu. Kadri alipoendelea kusugua kucha zangu huku wayo wangu ukiwa kiganjani kwake niliendelea kulegea. Alipoomba uroda sikusita, maana sikujiuliza mara mbili. Nikampa siku ya kwanza, ya pili na ya tatu.

Baada ya kugundua mimba imeingia na siyo ya hubby wangu hofu imenijaa. Nimembambikizia mume wangu lakini nafsi yangu inanisuta. Na tangu nionjwe na huyo muosha kucha sifurahii mgegedo wa mume wangu kivile.

Nifanyeje nirejeshe furaha na mahaba yangu kwa mume wangu? Sitaki ijulikane kuwa mimba niliyo nayo ni ya msafisha kucha. Ni fedheha kwangu mimi, mume wangu na wazazi wangu.
Hii ndio inadhiirisha ile kauri ya kuwa wanawake wana akiri ya kuku.
 
Bora ume mwambia kweli mkuu.
Siku akisfiwa na konda kuw adada umependeza kuliko abiria wangu wote
kwenye hili daladala langu, basi anagawa uroda tena bila ndomu.
Omba talaka, ukaolewe na msafisha kucha, kuna watu hawaridhilagi kwa kweli ,na mwendesha bodaboda utampa akikusifia unanukia vizuri.
 
Celine Dione, mwanamziki aliyetokea kuvuma na kupendwa sana ana wimbo wake ujulikanao kama "Love doesn't ask why ".

Msafisha kucha nimejikuta tu nimempa tunda na amelimega mara tatu tu lakini kishafunga goli. Nina mume wangu wa ndoa yenye miaka 4 na tuna mtoto wa miaka 3.

Kiukweli sina sababu ninayoweza kuitoa ikaeleweka kwamba kwanini nilimsaliti mume wangu. Sina sababu ya msingi. Msafisha kucha alini-win padogo tu. Kuna siku aliisifia bikini yangu aliyoiona wakati akiniweka vizuri miguu ili asafishe kucha za mguu wangu wa kulia. Macho yake yalituwama kwenye bikini yangu ya rangi nyekundu.

Aliniongelesha mambo mengi huku mikono yake ikiamsha hisia zangu za kimapenzi zilizojaa kwa wingi katika nyayo zangu. Kadri alipoendelea kusugua kucha zangu huku wayo wangu ukiwa kiganjani kwake niliendelea kulegea. Alipoomba uroda sikusita, maana sikujiuliza mara mbili. Nikampa siku ya kwanza, ya pili na ya tatu.

Baada ya kugundua mimba imeingia na siyo ya hubby wangu hofu imenijaa. Nimembambikizia mume wangu lakini nafsi yangu inanisuta. Na tangu nionjwe na huyo muosha kucha sifurahii mgegedo wa mume wangu kivile.

Nifanyeje nirejeshe furaha na mahaba yangu kwa mume wangu? Sitaki ijulikane kuwa mimba niliyo nayo ni ya msafisha kucha. Ni fedheha kwangu mimi, mume wangu na wazazi wangu.
Weka namba yako ya Simu Hapa,..nikushauri Vizuri.
 
Daaah kazi IPO kweli bado sijawa tayari kuoa maana kwa kesi hii Mimi maamuzi yangu ndoa haipo tena ! RIP ndoa
 
Hongera sana ukijifungua salama dogo akikua hutapata tena shida ya kwenda kusafisha kucha mbali hope dogo atachukua fani ya baba yake
Hiii kuzalishwa na maboy shamba,walinzi,waosha kucha matokeo unakuta baba wa watu na...miakili yake lakini watoto hawaba akili hata moja wako tu nje...wanakimbizana na walinzi...na...maboy shamba au wakienda...shule wanashinda...nje na wauza vitafunio na...kuwasaidia kazi.
Mtu hadi anajiuliza huzi tabia kazitoa wapi ??
Kuzaaa na mtu humjui ..hujui tambiko.zao .,hujui laana zao,hujui magonjwa yao ya kurithi..etc
 
kwani wewe jinsia gani maana hiz fiction story zako zmekua nyingi. ww si ulisema unaozeshwa bek 3? na sasa umekua demu?
 
Hiii kuzalishwa na maboy shamba,walinzi,waosha kucha matokeo unakuta baba wa watu na...miakili yake lakini watoto hawaba akili hata moja wako tu nje...wanakimbizana na walinzi...na...maboy shamba au wakienda...shule wanashinda...nje na wauza vitafunio na...kuwasaidia kazi.
Mtu hadi anajiuliza huzi tabia kazitoa wapi ??
Kuzaaa na mtu humjui ..hujui tambiko.zao .,hujui laana zao,hujui magonjwa yao ya kurithi..etc

Kweli kabisa mkuu
 
Hahahaha@ sexless unachekesha lol!!
Si ndio huyu aliyeanzisha thread akida mme wake anapoteza muda kwamba yeye kizazi kilitolewa akiwa form six?? Mi ndo mana humu siamini kila andish linaloandikwa alaf unaweza kuta huyu ni mwanaume tu
 
Back
Top Bottom