Wahisani wanataka kuona hatua stahiki zinachukuliwa dhidi ya wahusika....sasa mtu kajiuzuru kwa hiari yake hyo sivyo tutakavyo...afikishwe mahakamani akajibu tuhuma za kusababisha upotevu wa mabilion ya pesa za umma...
Hata akina mkwawa walikuwa wanafanya biashara ya utumwa kwa kuwauza mateka wao wa kivita,na hata leo hii biashara ya utumwa ipo na inaendelea sema katika style tofauti tu.
unakosea unapochukua kauli ya "mtu mmoja" na kujumuisha na watu wengi...then kumbuka aliyesema hayo yupo ktk nafas ile kama kiongoz wa kisiasa na nchi yetu haina dini..
Mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe mkuu pasco..umesema hutoi maoni hadi taarifa rasmi iwekwe..then at the same time umetoa povu jiiiiingi la kumtetea kabwe na kujinasibu kuwa sio mwanachama bali ni mfadhili wa cdm..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.