Umeme wa bei rahisi Dar kuanza mwakani

Umeme wa bei rahisi Dar kuanza mwakani

nakumbuka wakati gesi inakuja kwa mara ya kwanza nyimbo zilikuwa kama hizihizi za umeme wa bei nafuu.tujiulize ni lini bei ikashuka.kila mara naona ewura wakitoa matangazo ya tanesco kuomba kibali cha kuongeza bei.kama wana uhakika wa kupungua bei waambie hebu sema mwezi fulani unit 1 kwa tarif hii na ile zitashuka kwa bei fulani usikie siasa zitakapoanzia. tusubiri tuone
 
Aliyekwambia mimi ni mmoja wao ni nani au wapi nimeandika panapokuonyesha kuwa mi ni mmoja wao? Sina chama mimi. To hell politics. Nilichoandika hapo ni sarcastic.

sasa unachotuambia ni uwongo wakati gesi inaletwa dar ni nini? Kama c upotoshaji?
 
Kwamba bei ya umeme itapungua au ndio kupigana changa la macho? hizi kauli zingine tata sana
 
nakumbuka wakati gesi inakuja kwa mara ya kwanza nyimbo zilikuwa kama hizihizi za umeme wa bei nafuu.tujiulize ni lini bei ikashuka.kila mara naona ewura wakitoa matangazo ya tanesco kuomba kibali cha kuongeza bei.kama wana uhakika wa kupungua bei waambie hebu sema mwezi fulani unit 1 kwa tarif hii na ile zitashuka kwa bei fulani usikie siasa zitakapoanzia. tusubiri tuone

kuwa na subira mkuu, mambo mazuri hayahitaji haraka, hata kama hutakuwepo, watakuwepo wengine. Jimboni kwe2 ahadi ya barabara ya lami ilikuwepo tokea '84 hadi imekuja kuwekwa 2007. So hata wale waliokuwa wakipigania wengine hawapo tena.
 
Aliyekwambia mimi ni mmoja wao ni nani au wapi nimeandika panapokuonyesha kuwa mi ni mmoja wao? Sina chama mimi. Usikurupuke ku-comment, soma kisha changanua je kuna maana yeyote imefichwa nyuma kwenye comment yeyote. To hell politics. Nilichoandika hapo ni sarcastic.

Eti huna chama? mhh
 
sasa unachotuambia ni uwongo wakati gesi inaletwa dar ni nini? Kama c upotoshaji?

Wee ndugu, hivi unasoma comments za watu vizuri na majina yao? Sio mimi niliyepost uzi huu. Ebu cheki upya. Mi nili-comment nikaona umerukia comment yangu kana kwamba mi ndo hao wenye miradi. Nilichomaanisha mimi ni kwenye comment yangu ni kwamba siasa zimeshaanza mapema sababu uchaguzi ni mwakani, hivyo kwa wao ni 'good move', kuwavunja watu upande wao. Kama unapotoshwa na uzi huu sio mimi wa kuwajibika.
 
kuwa na subira mkuu, mambo mazuri hayahitaji haraka, hata kama hutakuwepo, watakuwepo wengine. Jimboni kwe2 ahadi ya barabara ya lami ilikuwepo tokea '84 hadi imekuja kuwekwa 2007. So hata wale waliokuwa wakipigania wengine hawapo tena.

Nadhani siyo sahihi yaani udanganywe halafu eti unasubiria.amka siyo muda wa kugive up.jamii ikiamka kila kitu kinawezekana lakini ikikumbatia hewala ni umaskini na kifo
 
Nadhani siyo sahihi yaani udanganywe halafu eti unasubiria.amka siyo muda wa kugive up.jamii ikiamka kila kitu kinawezekana lakini ikikumbatia hewala ni umaskini na kifo

uwongo una kipimo gani?
 
Wee ndugu, hivi unasoma comments za watu vizuri na majina yao? Sio mimi niliyepost uzi huu. Ebu cheki upya. Mi nili-comment nikaona umerukia comment yangu kana kwamba mi ndo hao wenye miradi. Nilichomaanisha mimi ni kwenye comment yangu ni kwamba siasa zimeshaanza mapema sababu uchaguzi ni mwakani, hivyo kwa wao ni 'good move', kuwavunja watu upande wao. Kama unapotoshwa na uzi huu sio mimi wa kuwajibika.

ila mipango ipo na wote twaiona. Wakija tuwape tu maana wameanzisha mradi muhimu sana, tukiwapa wengine itatuchukua karne kupata mradi kama huo.
 
Bora tubaki na ccm yetu kuliko wachochezi na wavunja amani iliyojengeka nchini, wanaponda maendeleo wakati wao kulipa pango na mishahara tu kumewashinda kazi kushinda Dubai na Israel kila mwaka.
Kumbe tanesco ni mali ya ccm !
 
Hivi sasa huku kwetu tmk umeme unakatika daily asubuhi na usiku..sasa huo ni upuuuuuz.
 
Past Future Tense.

Wataongeza at a decreasing rate
 
Ilishawahi kutelewa kauli kuwa mgao wa umeme ulishafikia mwisho, hautokuwepo tena.
 
Back
Top Bottom