Kwa yeyote anayejua sehemu au kiwanda kinachozalisha chupa za kopo sealed anijulishe manake ninashida nazo haraka sana;nahitaji za nusu lita na lita moja;kama mtu anajua na bei ya jumla itakuwa nzuri sana
Nauza lita 20 kwa shilingi 140000;ni asali nzuri ya nyuki wakubwa kama unahitaji mzigo basi tuwasiliane kupitia no hii 0688161818 niko Makambako -njombe
Kulingana na kupanda kwa gharama kuzalisha asali;kwa sasa nauza lita 20 kwa shilingi 140000 ni asali nzuri na mbichi ya nyuki wakubwa;kwa anayehitaji mzigo tuwasiliane kupitia no hii 0688161818 mi niko Makambako-Njombe
Mtoto wa kiume unakaa geto kwa demu wako;halafu uko poa kabisa huna mpango wa kutoka;jua ile geto kuna mwanaume analipia kodi siku akija huyo demu atakuita kaka
Karibuni sana tufanye biashara;asali ya nyuki wakubwa dumu la lita 20 nauza 120000/= ;asali ya nyuki wadogo dumu la lita 5 nauza 75000; niko Makambako - Njombe; kama unahitaji mzigo nitafute kwa no hii 0688 16 18 18;mzigo unapatikana wa kutosha
Hata mimi hiyo biashara naifuatilia kwa ukaribu sana;mi niko mkoani ila kama uko dsm nenda pale maeneo ya Tazara kariakoo ulizia jamaa mmoja anaitwa LALAN ni supplier mkubwa sana anasupply nchi nzima;
Hao jamaa wote nawakubali sana;nakumbuka kuna kipindi didy aliumwa ugonjwa wa kukosa usingizi sababu alitumia takribani mwaka mzima anagonga kazi usiku na mchana hivyo akawa kama hana usingizi tena ila ali make mo monet ndo mana yuko juu;
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.