Kisa cha kweli. Mashemeji wengine nuksi tupu

Kisa cha kweli. Mashemeji wengine nuksi tupu

Hizi story zinapatikana kwenye magazeti ya udaku ya ulaya, too fictional anyway poa kijiwe kichangamke
 
I dont want to believe kuwa umeamini hii fake story, yani kuna sehemu ziko nyingi kweli uongo mtupu

Huenda ikawa ni story lakini kwenye maisha ya kawaida haya mambo yapo tena sana,mie kuna kisa kimoja cha hivi niliwahi kukishuhudia@asprin@jerrymsigwa
 
Huenda ikawa ni story lakini kwenye maisha ya kawaida haya mambo yapo tena sana,mie kuna kisa kimoja cha hivi niliwahi kukishuhudia@asprin@jerrymsigwa

Mi sijapinga kwamba mambo ya watu kumegana na mashemeji zao yapo. Ila napinga mtiririko wa hii riwaya kuwa ni kisa cha kweli mpaka watu wanaamini na kumpa pole na wengine kumzodoa.
 
Mi sijapinga kwamba mambo ya watu kumegana na mashemeji zao yapo. Ila napinga mtiririko wa hii riwaya kuwa ni kisa cha kweli mpaka watu wanaamini na kumpa pole na wengine kumzodoa.

Hahhaha...Haya Babu nimekuelewa.

Heshima zako babu
 
Hahhaha...Haya Babu nimekuelewa.

Heshima zako babu

Na ya kwako ikurudie mjukuu wangu.

Natumaini mkwe wangu hajambo, na hujampa nafasi ya mchepuko. Ukimpa atamaliza marafiki zako wote....lol

Nilikumisi sana ulienda Torabora au?
 
Huenda ikawa ni story lakini kwenye maisha ya kawaida haya mambo yapo tena sana,mie kuna kisa kimoja cha hivi niliwahi kukishuhudia@asprin@jerrymsigwa

Mkuu sawa, ila kwa dunia ya sasa ivi mashemeji hawaaminiki kbs. Mimi nilishagoma kuishi na shemeji hata iweje; kama ni kusoma ni boarding kuja kwangu just few days na kuondoka
 
Uuuuuwiii safi safiiii sanaaa.
ni tabia yako u deserve it
 
Hakuna mwanamke anayeweza kufanya hivyo...labda kwenye muvi tena za bongo ambazo uhalisia unakuwa sifuri..
 
Haya mambo hutokea na hata na hata kama hayakumtokea jamaa lakini ni fundisho nzuri sana kwa wanandoa.
 
Hadithi hii inatufundisha kuwa michepuko sio dili baki njia kuu
 
Baada ya mke wangukunitambulisha yule shemejihisia za mapenzi zikaanzakunishika kwa kasi ya ajabu.

Nikajiapiza lazima nihakikishenampata kwa gharama yoyoteile.

Shem wangu yule kiukwelikaumbika maana guu guu hipshizoo na kwa upande waucheshi wake mimi sisemi kitu.

Basi nikaidaka namba yake nakuanza kumpa manjonjo nabaada ya muda mtoto akatiatimu na kuendana na matakwayangu yaaani kwa kifupiakasalimu amri.Akaniahidi tukutane hotel ilianipe furaha nami sikuwa na laziada zaidi ya kumpa fedha ilisiku ikifika nimkute kunakochumbani.

Siku ikafika mtoto akaniambiayuko kunako hoteli na mienikaenda na kabla ya kuingiahotel nikaona bora nipige vilobakwanza vinitoe nishai na kunipamaujasiri.

Nikavipiga weeee kisha nikaanzakuona naishiwa nguvunikamwomba twende tukajilievyetu.

Akanichukua na kunilazakitandani na akaniambiaanaenda kununua maji hotelnna kwa kuwa nilishajichokea namikonyagi nikalala nanakumbuka usiku nikaamkakumpa gemu moja tafu sana naakanisifia na tukaendelea kulala.

Asubuhi naamka niwashe taa nakwenda chooni nilishangaakuona kumbe pale hotelininililala na mke wangu.

Mke akashtuka na kusemambona umeduwaa nikakaakimya kwani nilimdanganyanaenda morogoro kikazi kwasiku moja ana nikaanza kuhisikuwa kuna ka mchezo pale.

Nimechanganyikiwa na sina chakusema maana naona wamenipawakati mgumu kwa kunitegeamtego huu.Sijui nifanyeje nimedata..i hatemashemu wote.

panga mpango tena utoke na shemejiyo ili ukampe game tafu mkeo huko hotelini
 
Back
Top Bottom